ROBERT MICHAEL JF-Expert Member Joined Oct 23, 2012 Posts 5,054 Reaction score 2,864 Jul 25, 2014 #61 geniveros said: leo kwetu umeme ulikatika na simu nayo kushnei chaji ndo nafika kijiweni Click to expand... Pole sana bibie,ila najua umzima wa afya.
geniveros said: leo kwetu umeme ulikatika na simu nayo kushnei chaji ndo nafika kijiweni Click to expand... Pole sana bibie,ila najua umzima wa afya.
Mnyenz JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 4,894 Reaction score 13,263 Jul 25, 2014 #62 Siku nyingi sana nilikua natamani hili bifu litokee, nashukuru yametimia, bifu kama hili ni raha sana subirini mtaona.
Siku nyingi sana nilikua natamani hili bifu litokee, nashukuru yametimia, bifu kama hili ni raha sana subirini mtaona.