Ocampo four
JF Senior Expert Member
- Feb 28, 2014
- 5,789
- 2,159
Akiwa anaendelea na kampeni katika mikoa ya kanda ya ziwa mgombea mwenza wa muungano wa Ukawa kupitia Chadema Ndg. Duni Hani (Babu Duni) kamlipua Kikwete na kusema nchi ilifanya makosa sana kuchagua mtu mweye kaliba ya Jakaya.
"Nchi haihitaji mtu wa kucheka cheka, ndio mana karibu nchi zote za ukanda wa kusini mwa Sahara zishatupita katika maendeleo, viongozi wao wako seriuos kuwatumikia wananchi na sio kucheke"
Katika hatua nyingine Duni kamlipua Magufuli na kusema anajiabisha na anazidi kujipotezea kura pale anaposhangaa kila jambo linalofanywa na serikali hii ya awamu ya nne wakati yeye pia ni moja wa viongozi katika serikali hiyo hiyo, tena ni waziri mwandamizi.
Duni kawataka wananchi kutoichagua CCM tena kwa kuwa hawana kipya watakachokileta, walipewa miaka 54 wakashindwa kwa hii miaka 5 au 10 hakuna miujiza watakayoleta... Kawataka wananchi kuichagua Ukawa ili nchi iende na kasi kama za wenzetu kama Rwanda, Kenya, Botswana na Ethiopia pamoja na kuleta maisha bora kwa wananchi.
Chanzo: Mtanzania
"Nchi haihitaji mtu wa kucheka cheka, ndio mana karibu nchi zote za ukanda wa kusini mwa Sahara zishatupita katika maendeleo, viongozi wao wako seriuos kuwatumikia wananchi na sio kucheke"
Katika hatua nyingine Duni kamlipua Magufuli na kusema anajiabisha na anazidi kujipotezea kura pale anaposhangaa kila jambo linalofanywa na serikali hii ya awamu ya nne wakati yeye pia ni moja wa viongozi katika serikali hiyo hiyo, tena ni waziri mwandamizi.
Duni kawataka wananchi kutoichagua CCM tena kwa kuwa hawana kipya watakachokileta, walipewa miaka 54 wakashindwa kwa hii miaka 5 au 10 hakuna miujiza watakayoleta... Kawataka wananchi kuichagua Ukawa ili nchi iende na kasi kama za wenzetu kama Rwanda, Kenya, Botswana na Ethiopia pamoja na kuleta maisha bora kwa wananchi.
Chanzo: Mtanzania