Katika football hayo hutokea. Hata uki recall QPR waliweza kupata ushindi wa 1-0 kwa Chelsea baada ya upendeleo wa dhahiri wa refa. Hii ni incidence moja tu lakini Man walikuwa katika pole position ya ushindi. Kwani Hata hao Man city nao walitakiwa kucheza 10 tangu mapemaaaa lakini kwa mapenzi ya refa alimvumilia balloteli hadi dakika za mwisho.
All in all Man U ni mabingwa. Wanaujua mchezo ni mzunguko wa mechi 38 na wanajipanga siyo wale wanaoshinda mechi moja kubwa na kusubiri nyingine wao wakipoteza wanatafuta jinsi ya kurudi pale walipokuwa. They deserve to be champions due to concistence of results throughout the season.
All in all Man U ni mabingwa. Wanaujua mchezo ni mzunguko wa mechi 38 na wanajipanga siyo wale wanaoshinda mechi moja kubwa na kusubiri nyingine wao wakipoteza wanatafuta jinsi ya kurudi pale walipokuwa. They deserve to be champions due to concistence of results throughout the season.