Baba wa taifa....

Baba wa taifa....

Magulumangu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2010
Posts
3,051
Reaction score
462
Wanajf kipindi cha utawala wa mzee LUKSA baba alikata ukimya na kusema WATANZANIA hatuwezi ongozwa toka kitandani, Je,haya ya mzee MWANGUKAJI angekuwepo mzee,baba wa hili taifa sijui angesema nn maana tunaona sijui tanzania inataka iongozwe na mji wa KIKWETE au siujui imekaaje wazee?IJUMAA NJEMA
 
Angewatia mikong'oto wote kuanzia Makamba, Kinana na JK mwenyewe!!
 
Angeunganishwa kwenye kesi ya kuua kwa kuwatoa watu kwenye nyumba zao na kuwapeleka wakaliwe na simba porini.


Mkuu umenikumbusha hapo,hivi unajua kigamboni watu waliliwa na simba kibao lkn sasas kikwete anaiuza je ina maana nchi yetu inatoaga kafara kwanza kuangalia kama fresh inawanyanganya wenye nayo?
 
Angeunganishwa kwenye kesi ya kuua kwa kuwatoa watu kwenye nyumba zao na kuwapeleka wakaliwe na simba porini.
Wishfull thinking!!! Huna lolote unalolijua, you are just one of those fisadis who are afraid of their own shadows!
 
nyerere angesema kwa kifupi tu kuwa hatuwezi kuongozwa na rais mgonjwa na dhaifu kiuongozi na mwenye kulinda marafiki zake wezi wakuu wa mali ya umma kwa kushirikiana nae...............AFYA TU INGEKUWA ENOUGH DISQUALIFICATION!
Wanajf kipindi cha utawala wa mzee LUKSA baba alikata ukimya na kusema WATANZANIA hatuwezi ongozwa toka kitandani, Je,haya ya mzee MWANGUKAJI angekuwepo mzee,baba wa hili taifa sijui angesema nn maana tunaona sijui tanzania inataka iongozwe na mji wa KIKWETE au siujui imekaaje wazee?IJUMAA NJEMA
 
Wishfull thinking!!! Huna lolote unalolijua, you are just one of those fisadis who are afraid of their own shadows!

Na wewe uliyekuwa na "lolote" what have you offered? Inaonyesha wewe simba walikula akili yako. Teh teh teh :becky:
 
Back
Top Bottom