Baba wa Taifa: Hakuna maendeleo bila Uhuru wa Raia

Baba wa Taifa: Hakuna maendeleo bila Uhuru wa Raia

Uhuru unamipaka yake,acheni uhuni

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanataka mtu akitukanana na mkewe hasira azimalizie kwa kumtukana JPM.

Wanataka mtu akifukuzwa kazi kwa uzembe wake hasira zake aje humu na azimalizie kwa uzi unaomtukana JPM.

Wanataka tapeli akizidiwa maarifa na watu na akashindwa kufanya wizi wake basi aende facebook akamtukane JPM na serikali yake.

Hii ni nchi yenye taratibu zake, uhuru wa mtu mmoja sio kigezo cha kumvunjia heshima mtu mwingine.
 
mmenikumbusha swala la mipaka,ngoja niende kwenye shamba langu nizungushie lote
 
Back
Top Bottom