Wewe ni mmoja wa watoto wa mama mmoja baba tofauti?Habar wana jukwaa ,kuna jambo binafsi natamani kulifaham ki uhalisia wake Hivi ni kweli kuwa watoto wa mama mmoja wanapendana zaidi kuliko wa baba mmoja mama tofauti?., naomba kuwasilisha.
yaan umeelezea vizuri sana,maelezo mafupi na yenye maana nzuri na nyepesi kuielewa!!!kweli great thinkers wapo,mwanzoni nilianza kupoteza iman!!Yes wa mama mmoja hupendana kwa kuwa wamekuwa pamoja na malezi ya pamoja huyu wa kwa baba anaweza kuletwa ukubwani hilo ndio tatizo automaticaly mnajikuta tabia makuzi malezi tofauti
yaan umeelezea vizuri sana,maelezo mafupi na yenye maana nzuri na nyepesi kuielewa!!!kweli great thinkers wapo,mwanzoni nilianza kupoteza iman!!
Yes wa mama mmoja hupendana kwa kuwa wamekuwa pamoja na malezi ya pamoja huyu wa kwa baba anaweza kuletwa ukubwani hilo ndio tatizo automaticaly mnajikuta tabia makuzi malezi tofauti
- Baba mmoja Mama mmoja.
- Mama mmoja Baba tofauti tofauti.
- Baba tofauti tofauti Mama mmoja.
- Mama tofauti Baba tofauti.
- Mama tofauti tofauti Baba tofauti tofauti.
Umeona swali lilivyo complicated hapo?
yaan umeelezea vizuri sana,maelezo mafupi na yenye maana nzuri na nyepesi kuielewa!!!kweli great thinkers wapo,mwanzoni nilianza kupoteza iman!!
Swali la pili na la 3........swali ni hilo hilo hakuna tofauti......
Mama wa kambo nao wanachangia mno kuwafanya watoto kwa upande wa baba wasielewane/wasipendane.Inawezekana, mara nyingi wanaozaliwa mama mmoja huwa wanapndana sna, labda kwa kuwa wanajihic ni ndugu wasiokuwa na shaka. tofauti na waliochangia baba tu, kwan ukweli anaujua mama.
Wewe ni mmoja wa watoto wa mama mmoja baba tofauti?
Inawezekana, mara nyingi wanaozaliwa mama mmoja huwa wanapndana sna, labda kwa kuwa wanajihic ni ndugu wasiokuwa na shaka. tofauti na waliochangia baba tu, kwan ukweli anaujua mama.
watoto wa mama mmoja wanaelewana sana kuliko wa baba mmoja , mimi hili nalipa 100% ni true sijui ni kwa sababu hiyo ulioileza au laKina mama hufitinisha watoto,kina baba hawana muda huo kwa watoto wa mke