Mchekeshaj wa mfalme
Member
- Nov 4, 2014
- 70
- 20
Naamini hii ni sababu kubwa ya serikali na watendaji wake kuendesha serikali jinsi wapendavyo.
Sijasikia baada ya kifo cha Marehemu Baba wa Taifa Mwl.J.K.Nyerere Kama Taifa lilimtangaza mrithi au baba mlezi wa Taifa.
Mf,Juzi karika sakata la Escrow nilisikia sauti ya Mama Maria (Mama wa Taifa) ila sauti ya hata mrithi wa Taifa wa Baba wa taifa akitoa sauti juu ya hili.
Mimi binafsi napendekeza majina haya na tupigie kura ili tumpate Baba Mlezi wa Taifa
1.Jaji Joseph Warioba
2.Ali Hasan Mwinyi
3.Samweli Maleccela
4.Kingunge Ngombale Mwilu
5.Joseph Butiku
Kura yako na maoni yako
Sijasikia baada ya kifo cha Marehemu Baba wa Taifa Mwl.J.K.Nyerere Kama Taifa lilimtangaza mrithi au baba mlezi wa Taifa.
Mf,Juzi karika sakata la Escrow nilisikia sauti ya Mama Maria (Mama wa Taifa) ila sauti ya hata mrithi wa Taifa wa Baba wa taifa akitoa sauti juu ya hili.
Mimi binafsi napendekeza majina haya na tupigie kura ili tumpate Baba Mlezi wa Taifa
1.Jaji Joseph Warioba
2.Ali Hasan Mwinyi
3.Samweli Maleccela
4.Kingunge Ngombale Mwilu
5.Joseph Butiku
Kura yako na maoni yako