Baadhi ya wananchi hapa ruaha wamegomea kabisa suala la sensa hali iliyosababisha makarani wa sensa kuziekea baadhi ya nyumba X ili zije zishughulikiwe kisawasawa kwa kugoma kuhesabiwa,kesho nitaendelea kufuatilia nione hali inavyoendelea..nawakilisha
Zile sehemu ambazo zipo nyuma kimaendeleo ndio wanagomea sensa ajabu sana ! mbona kupiga kura hamgomei au mnaenda kulipa pilao za watu mnazokula na fadhila ya mavazi yaani t-shirt kanga na kofia mnazopewa? Mngeacha na kupiga kura ila watu wale sensible tu ndio wapige ungekuta tushawang'oa hawa mafirauni siku nyingi!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.