KERO Baadhi ya Wafanyakazi Halmashauri ya Wilaya ya Mtama hawajathibitishwa kazini

KERO Baadhi ya Wafanyakazi Halmashauri ya Wilaya ya Mtama hawajathibitishwa kazini

  • Thread starter Thread starter Anonymous (c723)
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Kuhusu swala la uthibitishwaji kazini Halmashauri ya Wilaya ya Mtama, watumishi wa idara mbalimbali wapo ambao wana miaka miwili, na mmoja mpaka sasa hajathibitishwa.

Watu wa Human Resources waache kujikuta miungu; wafanye kazi zao kwa weredi.
 
Back
Top Bottom