jaba jumah
Senior Member
- Sep 24, 2015
- 150
- 50
Mtafaruk mpya umezuka pale ambapo unapona wabunge wanagoma kutembea na lowasa wakidai ya kuwa
walishamchafua sana na kumuita kila jina ambalo hata mengine dunian hayapo wamesema wakimnadi upya
wataonekana wao ni kituko mbele ya jamii kwani wanadai huwez ukafagia alafu ukaja ukachafua utaonekana
ni kituko wanadai huwezi ukasafisha oil chafu wakiri wenyewe nafuu ambatana na wachache wenye mioyo ya chuma
walishamchafua sana na kumuita kila jina ambalo hata mengine dunian hayapo wamesema wakimnadi upya
wataonekana wao ni kituko mbele ya jamii kwani wanadai huwez ukafagia alafu ukaja ukachafua utaonekana
ni kituko wanadai huwezi ukasafisha oil chafu wakiri wenyewe nafuu ambatana na wachache wenye mioyo ya chuma