Baadhi ya viongozi wa CHAUMA

Haha

Chagadema
 
Kula chuma hicho Msajili wa vyama
 
Waangalie wasijekutekwa na kuuwawa kama alivyouwawa Mdude,
 
Halafu utaratibu upoje kwenye vyama,inakuaje mtu anaingia kwenye chama siku hiyo hiyo ateuliwa kuwa kiongozi wa ngazi ya juu? Katiba ya Chauma inalizungumziaje jambo hili?
 
Dah inaelekea umeumia sana.Na pia upo in denial. Leta majina ya hao viongozi au itakuwa ni wishful thinking.
 
Hata mimi nilijiuliza sana, vyeo walivyoenda kuvishwa hao G55 ina maana vilikuwepo wazi?

Kama sivyo, hao waliokuwa kwenye nafasi hizo walikula maharage ya wapi kuvikana?

Kwa kweli hii ni movie, ngoja tusogeze stool tukae sawa sawa.
 
Halafu utaratibu upoje kwenye vyama,inakuaje mtu anaingia kwenye chama siku hiyo hiyo ateuliwa kuwa kiongozi wa ngazi ya juu? Katiba ya Chauma inalizungumziaje jambo hili?
Wenye katiba ndiyo waliofanya,we unahangaika!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…