GE2025 Baada ya October, Hawa watageuka kuwa Maadui!!

GE2025 Baada ya October, Hawa watageuka kuwa Maadui!!

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Idofu

Senior Member
Joined
Oct 24, 2022
Posts
124
Reaction score
214
Tuliona Kipindi Lema akiwa Mbunge alivyopata misukosuko hapo Arusha, wengine tulidhani ni kwa sababu ni Mbunge Kutoka Chama Cha Upinzani!

Akaja Gambo na Mongella baadae Makonda, Hawa wote ni Kutoka Chama tawala lakini tuliona Mh Gambo alivyopata misukosuko katika Kipindi chake!!

Uhakika ni kuwa baada ya October 2025 na kuendelea Paul Makonda na Kihongosi watakuwa Maadui!!
 
Tuliona Kipindi Mh.Lema akiwa Mbunge alivyopata misukosuko hapo Arusha,wengine tulidhani ni kwa sababu ni Mbunge Kutoka Chama Cha Upinzani!

Akaja Mh.Gambo na Mongella baadae Mh.Makonda,Hawa wote ni Kutoka Chama tawala lakini tuliona Mh Gambo alivyopata misukosuko katika Kipindi chake!!

Uhakika ni kuwa baada ya October 2025 na kuendelea Mh.Paul Makonda na Kihongosi watakuwa Maadui!!
Gambo alikuwa anapitia Karma kwahiyo kuna uwezekano Makonda asipitie alichopitia Gambo Ila Makonda atanyiwa fitina ambazo zitamuua kisiasa
 
Back
Top Bottom