ecolizer baba
Member
- Sep 29, 2010
- 88
- 310
Gazeti la Tanzanite la leo limeanza mashambulizi Rasmi dhidi ya Waziri wa Muungano na Mazingira Mh. January Makamba.
Gazeti hili la Cyprian Musiba linadai January katoweka na Bilioni moja za NSSF.
Nimejiuliza kuwa je baada ya Nape na Mwigulu hii ni zamu ya January??
Naomba kuwasilisha
Huu uzi utafutwa na mods ni swala la muda tu waitu!Gazeti la Tanzanite la leo limeanza mashambulizi Rasmi dhidi ya Waziri wa Muungano na Mazingira Mh. January Makamba.
Gazeti hili la Cyprian Musiba linadai January katoweka na Bilioni moja za NSSF.
Nimejiuliza kuwa je baada ya Nape na Mwigulu hii ni zamu ya January??
Naomba kuwasilisha
Kama hajatoweka nazo ,mahakama zipo,alilipue hilo gazeti,akikaa kimya ujue mzigo katoweka nao,ufafanuzi wake ni muhimu sana kwenye hii storyGazeti la Tanzanite la leo limeanza mashambulizi Rasmi dhidi ya Waziri wa Muungano na Mazingira Mh. January Makamba.
Gazeti hili la Cyprian Musiba linadai January katoweka na Bilioni moja za NSSF.
Nimejiuliza kuwa je baada ya Nape na Mwigulu hii ni zamu ya January??
Naomba kuwasilisha
Gazeti la Tanzanite la leo limeanza mashambulizi Rasmi dhidi ya Waziri wa Muungano na Mazingira Mh. January Makamba.
Gazeti hili la Cyprian Musiba linadai January katoweka na Bilioni moja za NSSF.
Nimejiuliza kuwa je baada ya Nape na Mwigulu hii ni zamu ya January??
Naomba kuwasilisha
Who cares?Gazeti la Tanzanite la leo limeanza mashambulizi Rasmi dhidi ya Waziri wa Muungano na Mazingira Mh. January Makamba.
Gazeti hili la Cyprian Musiba linadai January katoweka na Bilioni moja za NSSF.
Nimejiuliza kuwa je baada ya Nape na Mwigulu hii ni zamu ya January??
Naomba kuwasilisha
Membe kwa hiyo unataka kutuambia bado yuko Ubungo mataa hajafika mahakamani?January aende mahakamani (kwa sauti ya Mwakyembe)
Walichukuwa pesa 1billion kwa mgongo7wa mbumburi SACCOS, ambayo haikuwa na qualifications za kupata hizo pesa toka nssf,Kama hajatoweka nazo ,mahakama zipo,alilipue hilo gazeti,akikaa kimya ujue mzigo katoweka nao,ufafanuzi wake ni muhimu sana kwenye hii story
Kumbe mahakamani hatakwenda,ndipo kichwa chake kitakapoelekezwa kibla walah!Walichukuwa pesa 1billion kwa mgongo7wa mbumburi SACCOS, ambayo haikuwa na qualifications za kupata hizo pesa toka nssf,