Waziri mkuu wa Uingereza mh Boris na viongozi wengine waandamizi zaidi ya 10 akiwemo waziri wa foreign mama Patel wamepigwa marufuku kuingia nchini Urusi.
Wakafanye nini sasa huko? Nafikiri Uingereza yale masuala ya majasusi wa Kirusi kuingia na kufanya operation zao ndani ya Uingereza wameamua kumtia adabu sasa katika medani kwa kum equip vizuri Ukraine.
... PM wa UK aende Urusi kufanya nini? Makomunisti wanachekesha kweli! Hata kwa raia wa kawaida, warusi wanatamani kuishi UK kuliko huko kwao - Abramovich and the like.