Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,332
- 10,946
Nimjinga tu asie jua kua ule ni mpango uliotengenezwa na Amsterdam katika kuonyesha mteja wake kahujumiwa.Uzalendo wa kuiba kura na kutetea ujinga unatusaidia nini wewe mchumia tumbo?
Kama kweli mumeibiwa kura, Ushahidi gani wa kimazingira unaothibitisha madai yenu?
Kwanini kura mulizo zikamata mulizitia moto?
Je wahusika wa matukio yale wako wapi?
Acheni kutumika vijana.