Hivi mkuu kwanini hausomi upepo unakoelekea kwa suala la kitaifa kama hili?
Rais, Bunge na mawaziri wanaliongelea sana kila uchao suala lenu, na tena limekaa kisiasa sana.
Hongera kwa kuwa na 'muhu' wa kukamatia chaki kunoa ubongo wa vijana wetu, mwezi wa saba hauwezi kupita hivi hivi lazima ajira isome, mungu tena.