Kiufagio
Senior Member
- Aug 19, 2017
- 133
- 133
Habarini za muda huu wanajamvi.
Niende moja kwa moja kwenye lengo la uzi bila kuwachoshaa.
Inaanza najisogeza taratibu ndani ya mwendokasi(kivukoni-moroco) ili nipate upenyo wa kutoa simu yangu mfukoni ambayo nadhani ilitetema(notification allert),
ili nijue ni ujumbe gani wa faraja napokea jioni ya leo baada ya shughuli nzito ya usambazaji CV ofisi mbalimbali katikati ya jiji hili la Chalamila.
Lahaulaaa “ We had considerable interest in the role and the quality of applicants has been extremely high. I am sorry to advise that we won’t be progressing your application further, as there are other candidates who are a closer match at this stage.”
Kumbe ilikua ni ujumbe wa email kutoka kampuni moja wakisikitika kunijulisha kua sijafanikiwa kupata uoenyo kwenye kinyang’anyiro nilichotuma maombi yangu wiki iliopita.
Nikaguna huku kijasho kikinitokaa maana mwendokasi imeshona na nimesimama.
Namalizia kushuka hili daraja la watembea kwa miguu nikifika ntamalizia.
Niende moja kwa moja kwenye lengo la uzi bila kuwachoshaa.
Inaanza najisogeza taratibu ndani ya mwendokasi(kivukoni-moroco) ili nipate upenyo wa kutoa simu yangu mfukoni ambayo nadhani ilitetema(notification allert),
ili nijue ni ujumbe gani wa faraja napokea jioni ya leo baada ya shughuli nzito ya usambazaji CV ofisi mbalimbali katikati ya jiji hili la Chalamila.
Lahaulaaa “ We had considerable interest in the role and the quality of applicants has been extremely high. I am sorry to advise that we won’t be progressing your application further, as there are other candidates who are a closer match at this stage.”
Kumbe ilikua ni ujumbe wa email kutoka kampuni moja wakisikitika kunijulisha kua sijafanikiwa kupata uoenyo kwenye kinyang’anyiro nilichotuma maombi yangu wiki iliopita.
Nikaguna huku kijasho kikinitokaa maana mwendokasi imeshona na nimesimama.
Namalizia kushuka hili daraja la watembea kwa miguu nikifika ntamalizia.