Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mkuu kwanini hausomi upepo unakoelekea kwa suala la kitaifa kama hili?Ndugu,Habarini za muda huu.Nina imani nyote humu ni wazzima.Mimi ni mwalimu hivyo tayari nimemaliza kuweka vigezo vyote.Ninamshukuru Mungu.
Naomba kuuliza kwa wale wenye uzoefu mara Baada ya maombi(application) kufanyika huwa majina yanatangazwa muda upi kwa ajili ya kazi au kwenda kwennye vituo vya kazi?ASANTENI SANA.
Asante Ndugu.Nimepata Mwanga MzuriTulia kidogo. Inaweza ikachukua mwezi mmoja hadi mitatu. Ila naamini wanasubiria bajeti ya mwaka mpya wa fedha ujao. Itayoanza mwezi Julai.
Hivi mkuu kwanini hausomi upepo unakoelekea kwa suala la kitaifa kama hili?
Rais, Bunge na mawaziri wanaliongelea sana kila uchao suala lenu, na tena limekaa kisiasa sana.
Hongera kwa kuwa na 'muhu' wa kukamatia chaki kunoa ubongo wa vijana wetu, mwezi wa saba hauwezi kupita hivi hivi lazima ajira isome, mungu tena.
Asante Ndugu Kwa kututia Moyo Tunasubiria Kwa hamu Tukalitumikie Taifa RafikiKaa kwa kutulia teacher mwaka wa fedha ukipinduka mambo yatakuwa mukide, usiache kumuomba Mungu wakupangie vituo vya mjinimjini kidogo maana hawachelewi kukutupa sehemu usafiri ni trekta pekee
Asante Ndugu Kwa kututia Moyo Tunasubiria Kwa hamu Tukalitumikie Taifa Rafiki
mkuu kama ww mwalim wa phys bas fua begiNdugu,Habarini za muda huu.Nina imani nyote humu ni wazzima.Mimi ni mwalimu hivyo tayari nimemaliza kuweka vigezo vyote.Ninamshukuru Mungu.
Naomba kuuliza kwa wale wenye uzoefu mara Baada ya maombi(application) kufanyika huwa majina yanatangazwa muda upi kwa ajili ya kazi au kwenda kwennye vituo vya kazi?ASANTENI SANA.
Samahan naomba namba yako nikupigie ili unielekeze vizuri km umemaliza kuapply mana mi nimeshindwa kulog in kabisa na kila nikijaribu kuchange pass word pia inanikataliaNdugu,Habarini za muda huu.Nina imani nyote humu ni wazzima.Mimi ni mwalimu hivyo tayari nimemaliza kuweka vigezo vyote.Ninamshukuru Mungu.
Naomba kuuliza kwa wale wenye uzoefu mara Baada ya maombi(application) kufanyika huwa majina yanatangazwa muda upi kwa ajili ya kazi au kwenda kwennye vituo vya kazi?ASANTENI SANA.