Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,762
- 4,576
Kwa utafiti mdogo niliofanya ndani ya miezi hii mi 2 ajali zaidi ya 5 zimetokea zikihusisha magari ya SU, STK, STJ na DFP mengi kati ya magari haya yamepata ajali usiku na yanaendeshwa na madereva wapya baada ya wale wazoefu kutimuliwa kwa vyeti fake.
Tatizo linaweza kuwa nini? Nilitegemea perfomance yao ingekuwa juu sana maana wana vyeti original.
Tatizo linaweza kuwa nini? Nilitegemea perfomance yao ingekuwa juu sana maana wana vyeti original.