...kila mtu anayo haki kamili ya kujiunga na chama cha siasa atakacho lakini ni kweli Machali anaipenda CCM au kuna kitu kilichomsukuma kurudi CCM? ni kitu gani hasa hicho?. Hakuna asiyebandikwa bei mgongoni!!
Nilivyoona historia yake kwamba alianzia CCM then akaenda TLP then akaenda CHADEMA then NCCR then ACT then sasa. CCM wala sikushangaa.
Mtafuta maslahi huyu.
Nimeuliza swali tangu jana lakini sijajibiwa. Hivi kuna anayefahamu Machali amekuwa akijishughulisha na nini baada ya kukosa ubunge? Isije ikawa anatafuta ajira!
...kila mtu anayo haki kamili ya kujiunga na chama cha siasa atakacho lakini ni kweli Machali anaipenda CCM au kuna kitu kilichomsukuma kurudi CCM? ni kitu gani hasa hicho?. Hakuna asiyebandikwa bei mgongoni!!
Tundu Lissu, Mbowe, Maalim Seif, n.k. mmoja wao akirudi ccm basi Itakuwa ndiyo mwisho wangu mimi kupenda demokrasia, nitaachana kabisa na ushabiki wa kisiasa