Mpaka muda habari ishatimiaWaliokutuma kuja humu waambie kazi waliyokutuma haitekelezeki, labda nenda FB kwa watoto wenzako.
Akili kubwa ndo ya ndimi mbili kama ya mbowe ule nao siyo?Ccm linapokuja suala la siasa unahitaji akili kubwa sana kudeal nao.
Yes watanzania mil 59% sio wajinga tu bali zaidi ya wajingaKwahiyo watanzania sisi mil 60 ni wajinga ?
Rubbish, usituchoshe na pamba zakoHamjambo!
Lisu anasifika kwa Umahiri katika taaluma yake ya sheria. Hivyo kusema Lisu ana akili za kisheria hutokuwa umekosea.
Lisu anapenda ukweli jambo ambalo linamfanya aitwe roporopo na Mahasimu wake au watu ambao anagusa interests zao.
Lisu anapenda kupigania Haki, huo inamfanya awe Mwanaharakati zaidi kuliko mwanasiasa.
Mapungufu ya Lisu
1. Lisu ni jasiri lakini asiyetumia Akili. Ni kweli Lisu ana akili lakini katika upande wa sheria lakini katika utawala na mambo ya siasa kidogo anatumia mihemko kuliko Akili.
REFORMS AMBAZO ANATAKIWA KUFANYA;
1. Awe Master, Mwalimu, Kocha wa kufundisha vijana ndani ya chama chake.
Lisu anawafuasi lakini hana wanafunzi wake. Hili kiutawala au kimedani ni kosa.
Hata Yesu au Yohana, au Musa, wote hao walikuwa na wanafunzi wao.
Lisu ni lazima akitoka aandae mpango wa kutafuta vijana ambao atawafundisha uaminifu, kumuamini, kisha awape skills, maono yake, na itikadi yake.
Awa-train kwa kiwango cha kutosha huku akiendelea kujenga chama
Kuna tofauti kubwa ya kuwa na Mfuasi na kuwa na Mwanafunzi.
Kazi ya wafuasi ni kufuata unachosema lakini vipi usiposema, vipi ukiwa haupo iwe umekufa au umetekwa au upo sero kama hivi leo.
Lakini Mwanafunzi yeye ni zaidi ya mfuasi, yeye ni kama successor wako.
Mtume Mohammad yeye alikuwa na wanafunzi wake. Ambao kwa namna nyingi wanamchango katika uislamu.
2. Asitumie Ujasiri wake Bila Akili na Maarifa.
Lisu kama ni mtu mwenye vision na anataka kuacha Legacy itakayotimizwa Ra ikitokea emergency ameondoka. Lazima asitumie ujasiri wake vibaya.
Kutumia ujasiri bila Akili ni kuhujumu harakati zake na kuhatarisha malengo yake. Ambapo itakuwa kazi sawa na Bure
Kiongozi kujipeleka mbele katika uwanja wa vita tena sehemu yenye mashambulizi makali bila mipango ni kujihujumu na kutaka mchezo uishe haraka kabla ya malengo ya ushindi kufikiwa.
3. Kujadili meza Moja na Mahasimu wako ukiwa down ni moja ya mbinu inayofanya kazi.
Lisu yupo pekeake, anawafuasi lakini hana wanafunzi wa kufanya anayoyafikiri au maoni yake hata akiwa hayupo.
Ukishakuwa down usitake kujitutumua na kutaka vita viendelee wakati umeishiwa silaha na mbinu. Umezidiwa.
Kijeshi, ku- Surrender ni moja ya mbinu ya kununua muda.
Hata kwenye vita kwa kidunia tunaona. Unapoingia vitani unapigana ukiona umeishiwa au ukiona malengo yako ya vita yameenda kinyume unaomba vita visitishwe kidogo kisha mjadili matakwa ya hasimu wako hata kama unajua hutatimiza. Ila ni ile ku buy time tuu.
4. Kuunda Mfumo wenye Itikadi yake.
Huwezi ukapewa chama leo na hapohapo ukaanza kutumia watu uliowakuta bila kuwazoezesha mfumo wako mpya. Bila kuwaweka wanamfumo wako ambao ushawapima na kuwaona wanafaa na kumudu.
Tayari una wanafunzi wako lakini pia tayari umeweka baadhi ya wafuasi waliofiti mfumo na itikadi zako
Unapokuwa kiongozi sehemu yoyote ni rahisi kushindwa kuongoza kama utatumia itikadi yako katika watu waliozoea itikadi na mfumo wa mtangulizi wako.
Chama ni kimoja lakini mawazo ya viongozi yanaweza kutofautiana.
Kila kiongozi ana mfumo wake.
Nitakupa Mfano,
Wakati JPM anaingia alikuwa mkalimkali kama alivyo Tundu Kisu.
Ukali bila hesabu hausaidii.
Unapokuwa kiongozi jambo namba moja ni kujenga mfumo wako ambao utautiisha na utakutii kwa moyo wote. Watu mnaoshare same interest, watu wenye maoni yanayofanana, watu wenye falsafa na mitazamo inayofanana.
Huwezi kuwa kiongozi bila kujenga mtandao. Itakusumbua sana na ni rahisi kwa adui zako kukushambulia hasa kutokea ndani.
Tundu Lisu amefanya haraka sana kufanya mashambulizi kana kwamba mpango wake ulikuwa ni miaka mitano tuu.
Huwezi ukafanya mashambulizi ya haraka kwa kiwango kile wakati unajua huna dola.
Na hata ukiwa na Dola bado itakuhitaji muda ili ku-gain momentum.
Kwa sababu hata ukiwa na Dola alafu ndio umeingia madarakani leo. Lazima ujue aliyetoka bado anamfumo wake katika Dola unaloliongoza. Hivyo kusema watakuwa Loyal kwako kisa ndiye mkuu wao muda huo kuliko mtangulizi wako waliyemzoea itakuwa ni uongo.
Utapasuka usipokuwa Makini.
Huwezi tumia vijana walioandaliwa na watu, kocha mwingine, master mwingine ambaye kifalsafa na kimtazamo na interest mnatofautiana. Labda uwe mjinga.
5. Viongozi Smart sio wapiga Kelele.
Unapopiga piga kelele unatoa mwanya kwa adui yako kukusoma na kujua mambo uliyoyaficha bila hata ya wewe kujua
Viongozi wengi wapiga kelele wengi hulambishwa mchanga mapema kutokana na kuongeongea ambapo wanauza ramani ya vita.
Kwenye vita kanuni inayotumika ni ile ya Predators. Working silently
Ngoja ninywe chai.
TaikonMaster
Kwa sasa Dar es salaam
Sawa umeandika mengi ila kikubwa kwetu ni awe huru kwanza hayo mengine ni maoni yako.Hamjambo!
Lisu anasifika kwa Umahiri katika taaluma yake ya sheria. Hivyo kusema Lisu ana akili za kisheria hutokuwa umekosea.
Lisu anapenda ukweli jambo ambalo linamfanya aitwe roporopo na Mahasimu wake au watu ambao anagusa interests zao.
Lisu anapenda kupigania Haki, huo inamfanya awe Mwanaharakati zaidi kuliko mwanasiasa.
Mapungufu ya Lisu
1. Lisu ni jasiri lakini asiyetumia Akili. Ni kweli Lisu ana akili lakini katika upande wa sheria lakini katika utawala na mambo ya siasa kidogo anatumia mihemko kuliko Akili.
REFORMS AMBAZO ANATAKIWA KUFANYA;
1. Awe Master, Mwalimu, Kocha wa kufundisha vijana ndani ya chama chake.
Lisu anawafuasi lakini hana wanafunzi wake. Hili kiutawala au kimedani ni kosa.
Hata Yesu au Yohana, au Musa, wote hao walikuwa na wanafunzi wao.
Lisu ni lazima akitoka aandae mpango wa kutafuta vijana ambao atawafundisha uaminifu, kumuamini, kisha awape skills, maono yake, na itikadi yake.
Awa-train kwa kiwango cha kutosha huku akiendelea kujenga chama
Kuna tofauti kubwa ya kuwa na Mfuasi na kuwa na Mwanafunzi.
Kazi ya wafuasi ni kufuata unachosema lakini vipi usiposema, vipi ukiwa haupo iwe umekufa au umetekwa au upo sero kama hivi leo.
Lakini Mwanafunzi yeye ni zaidi ya mfuasi, yeye ni kama successor wako.
Mtume Mohammad yeye alikuwa na wanafunzi wake. Ambao kwa namna nyingi wanamchango katika uislamu.
2. Asitumie Ujasiri wake Bila Akili na Maarifa.
Lisu kama ni mtu mwenye vision na anataka kuacha Legacy itakayotimizwa Ra ikitokea emergency ameondoka. Lazima asitumie ujasiri wake vibaya.
Kutumia ujasiri bila Akili ni kuhujumu harakati zake na kuhatarisha malengo yake. Ambapo itakuwa kazi sawa na Bure
Kiongozi kujipeleka mbele katika uwanja wa vita tena sehemu yenye mashambulizi makali bila mipango ni kujihujumu na kutaka mchezo uishe haraka kabla ya malengo ya ushindi kufikiwa.
3. Kujadili meza Moja na Mahasimu wako ukiwa down ni moja ya mbinu inayofanya kazi.
Lisu yupo pekeake, anawafuasi lakini hana wanafunzi wa kufanya anayoyafikiri au maoni yake hata akiwa hayupo.
Ukishakuwa down usitake kujitutumua na kutaka vita viendelee wakati umeishiwa silaha na mbinu. Umezidiwa.
Kijeshi, ku- Surrender ni moja ya mbinu ya kununua muda.
Hata kwenye vita kwa kidunia tunaona. Unapoingia vitani unapigana ukiona umeishiwa au ukiona malengo yako ya vita yameenda kinyume unaomba vita visitishwe kidogo kisha mjadili matakwa ya hasimu wako hata kama unajua hutatimiza. Ila ni ile ku buy time tuu.
4. Kuunda Mfumo wenye Itikadi yake.
Huwezi ukapewa chama leo na hapohapo ukaanza kutumia watu uliowakuta bila kuwazoezesha mfumo wako mpya. Bila kuwaweka wanamfumo wako ambao ushawapima na kuwaona wanafaa na kumudu.
Tayari una wanafunzi wako lakini pia tayari umeweka baadhi ya wafuasi waliofiti mfumo na itikadi zako
Unapokuwa kiongozi sehemu yoyote ni rahisi kushindwa kuongoza kama utatumia itikadi yako katika watu waliozoea itikadi na mfumo wa mtangulizi wako.
Chama ni kimoja lakini mawazo ya viongozi yanaweza kutofautiana.
Kila kiongozi ana mfumo wake.
Nitakupa Mfano,
Wakati JPM anaingia alikuwa mkalimkali kama alivyo Tundu Kisu.
Ukali bila hesabu hausaidii.
Unapokuwa kiongozi jambo namba moja ni kujenga mfumo wako ambao utautiisha na utakutii kwa moyo wote. Watu mnaoshare same interest, watu wenye maoni yanayofanana, watu wenye falsafa na mitazamo inayofanana.
Huwezi kuwa kiongozi bila kujenga mtandao. Itakusumbua sana na ni rahisi kwa adui zako kukushambulia hasa kutokea ndani.
Tundu Lisu amefanya haraka sana kufanya mashambulizi kana kwamba mpango wake ulikuwa ni miaka mitano tuu.
Huwezi ukafanya mashambulizi ya haraka kwa kiwango kile wakati unajua huna dola.
Na hata ukiwa na Dola bado itakuhitaji muda ili ku-gain momentum.
Kwa sababu hata ukiwa na Dola alafu ndio umeingia madarakani leo. Lazima ujue aliyetoka bado anamfumo wake katika Dola unaloliongoza. Hivyo kusema watakuwa Loyal kwako kisa ndiye mkuu wao muda huo kuliko mtangulizi wako waliyemzoea itakuwa ni uongo.
Utapasuka usipokuwa Makini.
Huwezi tumia vijana walioandaliwa na watu, kocha mwingine, master mwingine ambaye kifalsafa na kimtazamo na interest mnatofautiana. Labda uwe mjinga.
5. Viongozi Smart sio wapiga Kelele.
Unapopiga piga kelele unatoa mwanya kwa adui yako kukusoma na kujua mambo uliyoyaficha bila hata ya wewe kujua
Viongozi wengi wapiga kelele wengi hulambishwa mchanga mapema kutokana na kuongeongea ambapo wanauza ramani ya vita.
Kwenye vita kanuni inayotumika ni ile ya Predators. Working silently
Ngoja ninywe chai.
TaikonMaster
Kwa sasa Dar es salaam
Ikiwemo na wewe? Au wewe unajitoaYes watanzania mil 59% sio wajinga tu bali zaidi ya wajinga
Jukwaa limekuzidi hili, unadanganywa huko na wewe unataka tuamini utoto wako nenda FB huko.Mpaka muda habari ishatimia
Mimi nipo hapa since 2007 na nimeleta habari kwakuwa najua vilaza wengi wapo JFJukwaa limekuzidi hili, unadanganywa huko na wewe unataka tuamini utoto wako nenda FB huko.
Ndiyo hivyo sasa hii habari yako ya kubumba tumistukia tafuta watoto wenzako ndiyo uwadanganye, umefeli dogo.Mimi nipo hapa since 2007 na nimeleta habari kwakuwa najua vilaza wengi wapo JF
Labda kama anavuna karma ya kukulawitiMmegukua GT msingeingia king na kuamini Chadema ni wapinzani halisi .
Nachokuambia Lissu anavuna karma hatokuja kuwa na Amani maisha take yote
Lissu waliotaka kumuu 2017 ndo wamekuweka jelaNdiyo hivyo sasa hii habari yako ya kubumba tumistukia tafuta watoto wenzako ndiyo uwadanganye, umefeli dogo.
Waliotaka kumuua ni dola na ni dola ndiyo imemuweka jela hilo liko wazi.Lissu waliotaka kumuu 2017 ndo wamekuweka jela
Hamjambo!
Lisu anasifika kwa Umahiri katika taaluma yake ya sheria. Hivyo kusema Lisu ana akili za kisheria hutokuwa umekosea.
Lisu anapenda ukweli jambo ambalo linamfanya aitwe roporopo na Mahasimu wake au watu ambao anagusa interests zao.
Lisu anapenda kupigania Haki, huo inamfanya awe Mwanaharakati zaidi kuliko mwanasiasa.
Mapungufu ya Lisu
1. Lisu ni jasiri lakini asiyetumia Akili. Ni kweli Lisu ana akili lakini katika upande wa sheria lakini katika utawala na mambo ya siasa kidogo anatumia mihemko kuliko Akili.
REFORMS AMBAZO ANATAKIWA KUFANYA;
1. Awe Master, Mwalimu, Kocha wa kufundisha vijana ndani ya chama chake.
Lisu anawafuasi lakini hana wanafunzi wake. Hili kiutawala au kimedani ni kosa.
Hata Yesu au Yohana, au Musa, wote hao walikuwa na wanafunzi wao.
Lisu ni lazima akitoka aandae mpango wa kutafuta vijana ambao atawafundisha uaminifu, kumuamini, kisha awape skills, maono yake, na itikadi yake.
Awa-train kwa kiwango cha kutosha huku akiendelea kujenga chama
Kuna tofauti kubwa ya kuwa na Mfuasi na kuwa na Mwanafunzi.
Kazi ya wafuasi ni kufuata unachosema lakini vipi usiposema, vipi ukiwa haupo iwe umekufa au umetekwa au upo sero kama hivi leo.
Lakini Mwanafunzi yeye ni zaidi ya mfuasi, yeye ni kama successor wako.
Mtume Mohammad yeye alikuwa na wanafunzi wake. Ambao kwa namna nyingi wanamchango katika uislamu.
2. Asitumie Ujasiri wake Bila Akili na Maarifa.
Lisu kama ni mtu mwenye vision na anataka kuacha Legacy itakayotimizwa Ra ikitokea emergency ameondoka. Lazima asitumie ujasiri wake vibaya.
Kutumia ujasiri bila Akili ni kuhujumu harakati zake na kuhatarisha malengo yake. Ambapo itakuwa kazi sawa na Bure
Kiongozi kujipeleka mbele katika uwanja wa vita tena sehemu yenye mashambulizi makali bila mipango ni kujihujumu na kutaka mchezo uishe haraka kabla ya malengo ya ushindi kufikiwa.
3. Kujadili meza Moja na Mahasimu wako ukiwa down ni moja ya mbinu inayofanya kazi.
Lisu yupo pekeake, anawafuasi lakini hana wanafunzi wa kufanya anayoyafikiri au maoni yake hata akiwa hayupo.
Ukishakuwa down usitake kujitutumua na kutaka vita viendelee wakati umeishiwa silaha na mbinu. Umezidiwa.
Kijeshi, ku- Surrender ni moja ya mbinu ya kununua muda.
Hata kwenye vita kwa kidunia tunaona. Unapoingia vitani unapigana ukiona umeishiwa au ukiona malengo yako ya vita yameenda kinyume unaomba vita visitishwe kidogo kisha mjadili matakwa ya hasimu wako hata kama unajua hutatimiza. Ila ni ile ku buy time tuu.
4. Kuunda Mfumo wenye Itikadi yake.
Huwezi ukapewa chama leo na hapohapo ukaanza kutumia watu uliowakuta bila kuwazoezesha mfumo wako mpya. Bila kuwaweka wanamfumo wako ambao ushawapima na kuwaona wanafaa na kumudu.
Tayari una wanafunzi wako lakini pia tayari umeweka baadhi ya wafuasi waliofiti mfumo na itikadi zako
Unapokuwa kiongozi sehemu yoyote ni rahisi kushindwa kuongoza kama utatumia itikadi yako katika watu waliozoea itikadi na mfumo wa mtangulizi wako.
Chama ni kimoja lakini mawazo ya viongozi yanaweza kutofautiana.
Kila kiongozi ana mfumo wake.
Nitakupa Mfano,
Wakati JPM anaingia alikuwa mkalimkali kama alivyo Tundu Kisu.
Ukali bila hesabu hausaidii.
Unapokuwa kiongozi jambo namba moja ni kujenga mfumo wako ambao utautiisha na utakutii kwa moyo wote. Watu mnaoshare same interest, watu wenye maoni yanayofanana, watu wenye falsafa na mitazamo inayofanana.
Huwezi kuwa kiongozi bila kujenga mtandao. Itakusumbua sana na ni rahisi kwa adui zako kukushambulia hasa kutokea ndani.
Tundu Lisu amefanya haraka sana kufanya mashambulizi kana kwamba mpango wake ulikuwa ni miaka mitano tuu.
Huwezi ukafanya mashambulizi ya haraka kwa kiwango kile wakati unajua huna dola.
Na hata ukiwa na Dola bado itakuhitaji muda ili ku-gain momentum.
Kwa sababu hata ukiwa na Dola alafu ndio umeingia madarakani leo. Lazima ujue aliyetoka bado anamfumo wake katika Dola unaloliongoza. Hivyo kusema watakuwa Loyal kwako kisa ndiye mkuu wao muda huo kuliko mtangulizi wako waliyemzoea itakuwa ni uongo.
Utapasuka usipokuwa Makini.
Huwezi tumia vijana walioandaliwa na watu, kocha mwingine, master mwingine ambaye kifalsafa na kimtazamo na interest mnatofautiana. Labda uwe mjinga.
5. Viongozi Smart sio wapiga Kelele.
Unapopiga piga kelele unatoa mwanya kwa adui yako kukusoma na kujua mambo uliyoyaficha bila hata ya wewe kujua
Viongozi wengi wapiga kelele wengi hulambishwa mchanga mapema kutokana na kuongeongea ambapo wanauza ramani ya vita.
Kwenye vita kanuni inayotumika ni ile ya Predators. Working silently
Ngoja ninywe chai.
TaikonMaster
Kwa sasa Dar es salaam
Mabavu huwa hayadumu muda mrefu dhidi ya akili. Mwenye akili atashinda tu. Ila iwapo mwenye akili ana mabavu hapo sasa inahitajika akili zaidi kudeal naye.Akili kubwa ndo ya ndimi mbili kama ya mbowe ule nao siyo?
Mi nkajua akili kubwa ni hoja kwa hoja na si hoja kwa mabavu na kutumia dola na kuipa maelekzo mihimili ikandamize haki na usawa wa mtu
Hizi ni mbinu za kuchelewesha makusudi mabadiliko ya kweli ambayo Umma unayahitaji Sana kwa Sasa. Akitoka aendelee mbele kuanzia pale alipoishia