Baada ya kushiriki na kushindwa uchaguzi nina haya ya kusema kwa uongozi mpya BAVICHA

Hongera sana unamaono mazuri with bright vision. Nina matumaini kwamba hutayaacha maono yako yajifie tu kwasababu umekosa nafasi ya kuongoza BAVICHA ninahakika utashirikiana na mshindi ktk kulisogeza mbele guridumu la BAVICHA,Chadema na Taifa kwa ujumla.

Na hiki ndicho nilichokuwa nakipigania kuona kwamba makundi yote yaliyoundwa kabla ya uchaguzi kwasababu ya kampeni yanavunjwa baada ya uchaguzi ili kutoa mwanga,nafasi kwa uongozi uliochaguliwa kufanya kazi bila wasiwasi wowote

Nakupongeza sana kwa kujitambua.

BACK TANGANYIKA
 
Wewe kweli ulistahili kushindwa kabisa! Yani unampongeza mtu anaye jali siasa kuliko maisha yake? Hivi ange anguka huko ukumbini na kufa leo ungekuwa unaongea nini?

Yani huyo ni mtu wa ajabu sana yani anaijali chadema kuliko afya yake daaaa nafikiri kama mzazi wake akijua haya atalia sana!

Mkuu ina maana Rose Mayemba hakupata chochote.?
 
Last edited by a moderator:


Pamoja na kwamba sitawalazimisha lakini ipo haja kwa sasa kuanza kufikiria baada ya chama chetu kuingia ikulu nini tufanye kama vijana kuhakikisha tunaliepusha taifa na misingi ya unyonyaji ambayo imepandikizwa na mataifa ya nje. Pia tujiandae kukabili na kupinga misingi mipya ya unyonyaji itakayoletwa katika taifa letu.

Lakini tufanye hivyo kwa weledi mkubwa na utulivu wa akili maana hao wanaofaidi utajiri wetu wasingependa kusikia chama ama mtu anayetaka kukata mirija ya kuinyonya nchi.

Natambua kuwa kazi hii si nyepesi lakini hatuna budi kuifanya kwa manufaa ya vizazi vijavyo.

Nitategemea kuwa huu ni wakati muafaka zaidi kwa sisi vijana kupigania uanzishwaji wa viwanda ambavyo kimsingi vitasaidia sana kupunguza tatizo la ajira na kuimarisha uwezo wetu wa sayansi na tekinolojia.

Lakini hapa nitategemea kuwa tunapigania zaidi nchi kuanza kazi kubwa ya kupandikiza na kukuza teknolojia itakayosaidia taifa, ili tuepuke utegemezi wa miaka yote kuanzia teknolojia mpaka fedha. Na baadae tutumie teknolojia yetu kwa kuvuna na kusindika raslimali zetu ziwe za mazao,mifugo ama mali udongo na tuachane kabisa na mawazo ya kila siku kukimbilia kuvutia wawekezaji maana tutakuwa tumejenga uwezo wetu wenyewe.

Naamini inawezekana, na wenye moyo watafanya na nitakuwa miongoni mwao na hata peke yangu nikikosa mshirika ila nitasimamia hayo. Nchi itasonga mbele kwa utashi wa misingi hii.

Lakini nitahadhalishe kuwa itahitaji miaka isiyopungua 15 kuweka misingi imara ya kulifanya taifa lijiendeleze kwa kasi katika tekinolojia. Hivyo hayo hayatakuwa mabadiliko ya jua kuchomoza ama kuzama.

Safi sana... Hongera sana.... Imenibidi nilogin kwasababu ya bandiko lako hili.... Nimeamini kuwa kumbe wapo vijana wengi wawazao vizuri kama hivi...

Hapo kwenye blue nakupa hongera za kipee sana... hiyo sentesi uliyoandika naomba uishike sana na usiiache iende zake moyoni mwako... hakika hutakata tamaa... wala hakuna atayeweza kukukatisha tamaa wewe....

NIMEONA KWAMBA WEWE NI VISIONARY AND YOU ARE CARRYING VERY IMPORTANT PURPOSE IN YOUR HEART...

You are a purpose driven man (watu kama nyie mnahitajika sana katika dunia hii, na tena watu kama nyie (porpose driven people) ni wachecha sana duniani hapa).

Tuko pamoja...
 
Wewe kweli ulistahili kushindwa kabisa! Yani unampongeza mtu anaye jali siasa kuliko maisha yake? Hivi ange anguka huko ukumbini na kufa leo ungekuwa unaongea nini?

Yani huyo ni mtu wa ajabu sana yani anaijali chadema kuliko afya yake daaaa nafikiri kama mzazi wake akijua haya atalia sana!

Mkuu ina maana Rose Mayemba hakupata chochote.?

hivi Mandela angejali zaidi afya yake na uhai wake leo angekuwa mkombozi wa Afrika kusini? Nyerere angejali zaidi uhai wake angekuwa mkombozi wa Tanzania? Mbowe angejali zaidi uhai wake na maisha yake leo chadema ingekuwa taasisi imara? all coward and selfish people have no success as everything of great achievement need risk taking including life risk on doing any ocassion whether political, scientific or civil. huyo ni shujaa wangu.

A COWARD A SELFISH PERSON WILL NEVER EVER RISK HIS OR HER LIFE FOR THE ADAVANTAGE OF THE OTHERS OR AN ORGANIZATION
 
christian 99% jibu mwenyewe bado mwkt
Maandiko yanasema "apandacho mtu ndicho atakacho vuma" dhambi hii ya ubaguzi wa kidini unayoipanda kwenye akili za watu,Mungu atakudai damu ya Watanzania .

Bahati nzuri sana Mungu yupo mahali pote,anajua yote,na anaweza yote.

Kujificha kwenye ID zenu,hakumzuii Mungu kukushughulikia.

Hata mbuyu ulianza kama mchicha.

" A critic is man who knows the way but can't drive the car"
 
christian 99% jibu mwenyewe bado mwkt

Acha kutuletea mbegu ya udini wewe. Kuna muislam aliyegombea akawa na vigezo akakosa? Kule CUF mbona ni wailsam hatusemi? Hata wanachama ni waislam, kama kuna wakristu ni wa kutafuta? CDM ina wanachama wa asili zote. Kanawe uso utoe tongotongo then kojoa ukalale.
 
Safi sana... Hongera sana.... Imenibidi nilogin kwasababu ya bandiko lako hili.... Nimeamini kuwa kumbe wapo vijana wengi wawazao vizuri kama hivi...

Hapo kwenye blue nakupa hongera za kipee sana... hiyo sentesi uliyoandika naomba uishike sana na usiiache iende zake moyoni mwako... hakika hutakata tamaa... wala hakuna atayeweza kukukatisha tamaa wewe....

NIMEONA KWAMBA WEWE NI VISIONARY AND YOU ARE CARRYING VERY IMPORTANT PURPOSE IN YOUR HEART...

You are a purpose driven man (watu kama nyie mnahitajika sana katika dunia hii, na tena watu kama nyie (porpose driven people) ni wachecha sana duniani hapa).

Tuko pamoja...

asante sana, najua kupigania mabadiliko ni kazi ngumu sana na wakati mwingine unaweza kujikuta peke yako lakini hakuna mwanaharakati wa dhati anayeweza kukata tamaa ama kukatishwa tamaa kwa jambo lolote,.

am very strong and i will carry on and am sure a day will come for my party to support me. though some misunderstood me at the time of my speech delivery and some were even extremely shocked and many came across to advice me shortly after my stunning speech even though non of the three difficult questions to my speech i failed to answer or defend my speech and as a cause i lost the battle worstly due to the inconvenience of misunderstanding my speech and just a few understood my intention though they had to say on my speech presentation as they named it to be an academician presentation which i could not deliver in front of voters due to difference of undestanding. rather they adviced me such a speech is viable in infront of academicians but not voters.

thats why i wrote those words for me to be ready to fight for a nation even though am left alone for that stand.
 
Joseph Mashinga, umeonesha grown and matured mind kabisa. Siku zote tunatakiwa tuwe na attitude kama hizi. Katika kushindana kuna kushinda na kushindwa. Nimekupongeza na kukupa Reputations over 40,000,000 na like juu. Keep it up and do not allow twisting of your mind at this point in time. Najua wale jamaa zetu wataanza kukufuata na kukuwambia mara hili na lile ili ukajiunge nao. Wape na uso. You made my weekend.Thank you!
 
Back
Top Bottom