Baada ya kuomba vyuo kupitia NACTE, nini kinafuata?

Baada ya kuomba vyuo kupitia NACTE, nini kinafuata?

QT Jay

Member
Joined
Jan 25, 2017
Posts
49
Reaction score
25
Salama wakuu,

Mimi nimefanya application kwa kupitia NACTE na idadi ya vyuo nilivyohitajika kuomba ni vitatu tu na kweli nimeomba.

Je baada ya kuomba kupitia NACTE nini ninatakiwa kufanya baada ya hapo?
 
Ndiyo umechagua kozi gani ?
Agricultural
then kunauwezekano maombi yako kukubaliwa na vyuo viwili halafu wewe ndo ukafanya ukatazama uende chuo kipi? ama wao ndo wanakuwa wanakudirect utaenda chuo flani
 
Agricultural
then kunauwezekano maombi yako kukubaliwa na vyuo viwili halafu wewe ndo ukafanya ukatazama uende chuo kipi? ama wao ndo wanakuwa wanakudirect utaenda chuo flani
Wanakudirect Chuo kimoja tu
 
Wanakudirect Chuo kimoja tu
kumbe sasa kaka watakao kutaarifu ni Necta ama chuo? maana nilikuwa najaribu kutuma online application chuo flani ili nisikose kabisa nashangaa papo hapo naambiwa congratulations na nikifikilia kiko dodoma chakula juu yako kima cha chini kwa siku 2500. nikifikilia na hii Tanzania ya viwanda daahh
 
kumbe sasa kaka watakao kutaarifu ni Necta ama chuo? maana nilikuwa najaribu kutuma online application chuo flani ili nisikose kabisa nashangaa papo hapo naambiwa congratulations na nikifikilia kiko dodoma chakula juu yako kima cha chini kwa siku 2500. nikifikilia na hii Tanzania ya viwanda daahh
Nacte wanakutumia taaarifaa luwa umechagiwa chuo flan na pia chuo wataaakutaatf kuwa umechaguliwa chuon kwao
 
QT
kwanza hongera kwa kuapply lakini ss hv kuna competition sana ya vyuo kwahy kama umechaguliwa ni bora angalia tathmini manake kama mm nishaawai apply kwa awamu ya kwanza nikatupwa out lkn wakaja nikachaguliw kwa awamu ya pili......
 
kumbe sasa kaka watakao kutaarifu ni Necta ama chuo? maana nilikuwa najaribu kutuma online application chuo flani ili nisikose kabisa nashangaa papo hapo naambiwa congratulations na nikifikilia kiko dodoma chakula juu yako kima cha chini kwa siku 2500. nikifikilia na hii Tanzania ya viwanda daahh
Chuo gani Dodoma umechaguliwa kwanza
 
Back
Top Bottom