Unakumbuka story ya Tajiri na Lazaro wa kwenye Biblia
Mwisho wa siku yule tajiri alijibiwa vipi
Ibrahimu akamwambia, ‘Wasiposikiliza na kutii sheria za Musa na Maandiko ya manabii, hawatashawishika kutubu hata kama mtu akifufuka kutoka kuzimu.”’
Nataka kusema hata mtu atoke kuzimu akuambie hivi huwezi kuaminiiiiiiiiii