Baada ya Kulipua Mabomu Uganda, Al Shabaab Waanza Kuitikisa Kenya!

Hawa watu ni hatari na nakumbuka hata hapa Tanzania walishawahi kuleta maafa. Kama mtakumbuka vizuri majambazi ya kisomali yalishawahi kumuua OCD, kama siyo wa Kiteto basi Babati, na hiyo ilikuwa ni miaka ya 90 mwishoni. Anaye kumbuka atuwekee vizuri.
 
Ndio hivyo wasomali na wageni kwa ujumla hasa wenye asilii ya asia, rwanda wamezidi sana Tanzania yaani siku hizi wamekuwa ndio wazawa wana uraia na passport na hata vyeti vya kuzaliwa yaani siyo shahada ya kuandikishwa uraia kusema labda aliomba uraia no, ni vyeti vya kuzaliwa na viswahili vyao vibovubovu ukichunguza muda wa vyeti vilipotelewa na walivyoingia nchini utashangaa sana na ndio wanaowanamiliki uchumi wa hii nchi. bado kidogo utasikia wachina watanzania, wanaongea kiswahili mbovumbovu na wanapaspot za Tanzania na hata vyeti vya kuzaliwa ukijachunguza sana utakuta au waliingia kujenga mabarara bara viwanja, biashara, wawekezji n.k. ndi Bongo yetu.

Cha ajabu haohao waliojazana hapa sina hakika kama ukienda ukienda kwenye nchi zao hutakuta Mtanzania amekuwa mchina, msomali, mhindi akiwa na uraia, passport n.k mpaka kuwa mbunge au waziri hivi kwa nini tusijiulize, nafikiri waliosema shamba la bibi hawakukosea.
 
Al-Shabab ni kikundi cha mijitu mibovu sana. Na shaka kama hawa ni binadamu!! Kinachonishangaza ni nani anewatumia silaha huko Somalia?
 
Nawapongeza Benin kwa kujitolea askari kwenda kujaribu kuwadhibiti hawa Al-Shabaab wakiungana na Uganda na Burundi. Nafikiri nchi nyingi zingekuwa zimejitoa huko nyuma pengine hili tatizo lingekuwa limemalizika. Ni ajabu kwamba hata nchi zinazopakana na nchi hiyo bado zinangojea wasaidiwe na nchi ndogo kama Benin.

Mfano Kenya, kwa kuendeleza ubinafsi wao bado wanasubiri wengine wapigane, kisha amani ikishapatikana wao waingie kufanya biashara. Kama walivyotengezewa njia ya kwenda Sudan ya Kusini na Uganda na sasa wamekimbilia huko kufanya biashara. Kenya, inapaswa kujua kwamba amani ina gharama zake. Tanzania ilishafanya makubwa, hilo linafahamika. Labda tatizo ni kwamba sisi tulijitolea bure.

KENYA, NENDENI SOMALIA!


Hao ni ma-PREDATOR...WAZEE WA KUVIZIA. Tukiwasema, eti tunaogopa vyeti vyao, na kiingereza chao. Kwa kuwa sisi hatuajiriki..teh teh teh! Why don't they cook their english and eat it instead of being foot loose citizens in their countries.
 
Ndio hivyo wasomali na wageni kwa ujumla hasa wenye asilii ya asia, rwanda wamezidi sana Tanzania yaani siku hizi wamekuwa ndio wazawa wana uraia na passport na hata vyeti vya kuzaliwa yaani siyo shahada ya kuandikishwa uraia kusema labda aliomba uraia no, ni vyeti vya kuzaliwa na viswahili vyao vibovubovu ukichunguza muda wa vyeti vilipotelewa na walivyoingia nchini utashangaa sana na ndio wanaowanamiliki uchumi wa hii nchi. bado kidogo utasikia wachina watanzania, wanaongea kiswahili mbovumbovu na wanapaspot za Tanzania na hata vyeti vya kuzaliwa ukijachunguza sana utakuta au waliingia kujenga mabarara bara viwanja, biashara, wawekezji n.k. ndi Bongo yetu.
Cha ajabu haohao waliojazana hapa sina hakika kama ukienda ukienda kwenye nchi zao hutakuta Mtanzania amekuwa mchina, msomali, mhindi akiwa na uraia, passport n.k mpaka kuwa mbunge au waziri hivi kwa nini tusijiulize, nafikiri waliosema shamba la bibi hawakukosea.

Makuwadi wao watakwambia unaogopa competition, eti hupendi wageni. Mpende jirani yako kuliko unavyojipenda..
 
Back
Top Bottom