kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 11,120
- 24,395
Hii inaitwa kama mbwai na iwe mbwai
Baada ya Israel kuzima internet Gaza sasa bilionea Elon baada ya maombi ya watu zaidi ya milioni 250 kuomba Star Link iwashe Gaza finally wamekubali na hii imewakera sana Wahalifu wa mjini Telaviv
"Starlink will support connectivity to internationally recognized aid organizations in Gaza." Ameandika Elon kwenye ukurasa wake wa twitter.
====
Pia soma:
Mitandao ya simu ipige faida ya internet kwa mara ya mwisho. Elon Musk kuleta internet ya Starlink Tanzania
Baada ya Israel kuzima internet Gaza sasa bilionea Elon baada ya maombi ya watu zaidi ya milioni 250 kuomba Star Link iwashe Gaza finally wamekubali na hii imewakera sana Wahalifu wa mjini Telaviv
"Starlink will support connectivity to internationally recognized aid organizations in Gaza." Ameandika Elon kwenye ukurasa wake wa twitter.
====
Pia soma:
Mitandao ya simu ipige faida ya internet kwa mara ya mwisho. Elon Musk kuleta internet ya Starlink Tanzania