TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 8,859
- 23,119
Nachojua ayubu na wote walio nyuma au mbele yake hawatakubali. Nahivi wanajua bimkubwa anachungulia mitandaoni sana ukiwemo hapa Jf tujiandae kupokea wageni lkn wenyeji sana hapa.
Kama sio kwa maelekezo ya moja kwa moja toka kwa ayubu basi itakuwa ni hasira za wale watakao achwa au kutemwa na mama baada ya kuwaona au kuwahisi wanamzunguka. Watataka kumwaga mboga maana ugali umeshamwagwa tayari.
Homa ya uchaguzi 2025 imeshika kasi. Angalizo tu japo najua wanajua kuwa mama siyo mgeni wa ccm. Alianzia ngazi za chini kwenye chama na serikali mpka kuja kuwa mwenyekiti wa chama na rais wa nchi. Anazijua fitna zoote, na sio mgeni wa maswala ya makundi kwenye chama. Na hivi ameshika rungu atawanyoosha.
Kinachokera tupo tuliodhani imebaki mitano tuu, kumbe inaongezeka mitano mingine, yaani kumi, dadeki..
Ñb: sina mrengo wowote wala ushabiki kwenye hili na hivi sijawahi kupiga kura kwangu mm bora liende tuu.
Kama sio kwa maelekezo ya moja kwa moja toka kwa ayubu basi itakuwa ni hasira za wale watakao achwa au kutemwa na mama baada ya kuwaona au kuwahisi wanamzunguka. Watataka kumwaga mboga maana ugali umeshamwagwa tayari.
Homa ya uchaguzi 2025 imeshika kasi. Angalizo tu japo najua wanajua kuwa mama siyo mgeni wa ccm. Alianzia ngazi za chini kwenye chama na serikali mpka kuja kuwa mwenyekiti wa chama na rais wa nchi. Anazijua fitna zoote, na sio mgeni wa maswala ya makundi kwenye chama. Na hivi ameshika rungu atawanyoosha.
Kinachokera tupo tuliodhani imebaki mitano tuu, kumbe inaongezeka mitano mingine, yaani kumi, dadeki..
Ñb: sina mrengo wowote wala ushabiki kwenye hili na hivi sijawahi kupiga kura kwangu mm bora liende tuu.