Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 36,155
- 30,825
Uhuru kwa vyama vya siasa kufanya siasa za kistaarabu umeongezeka na mazingira bora zaidi ya kisheria kwa wananchi na wanasiasa kufanya shughuli za kisiasa kwa usawa, uhuru, uwazi na haki yameboreshwa na kua bora zaidi.
Kuelekea uchaguzi mkuu wa October, vyama vya siasa nchini vinaenjoy kwa kiwango kikubwa sana fursa na nafasi ya kuchangamana na wananchi kwenye mikutano ya hadhara ya kisiasa nchini bila fujo, maandamano ya ghasia au vurugu tofauti na kipindi kilichopita kabla ya kusambaratika kwa CHADEMA.
Mazingira ya kiusalama yamewekwa kote nchini ili kusudi vyama vya siasa vifanye shughuli zao kwa amani na usawa kwa mujibu wa sheria, huku usalama wa raia na mali zao ukiwa katika uhakika wa kiwango cha juu zaidi.
Sote ni mashahidi,
huenda chadema ndio ilikua chanzo cha fujo, vurugu, uharibifu, dhuluma za uhai wa watu wasio na hatia na ghasia nyingine mballimbali za kisiasa kama vile watu kupotea n.k.
Hivyo naweza kusema without fear of contradictions kwamba, kusambaratika kwa chadema nchini kumeimatisha amani, utulivu wa kisiasa na kumechochea kwa kiasi kikubwa sana uhakika wa usalama wa watu na makazi yao, lakini pia kushamiri na kusitawi kwa demokrasia ya vyama vingi nchini Tanzania.🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Kuelekea uchaguzi mkuu wa October, vyama vya siasa nchini vinaenjoy kwa kiwango kikubwa sana fursa na nafasi ya kuchangamana na wananchi kwenye mikutano ya hadhara ya kisiasa nchini bila fujo, maandamano ya ghasia au vurugu tofauti na kipindi kilichopita kabla ya kusambaratika kwa CHADEMA.
Mazingira ya kiusalama yamewekwa kote nchini ili kusudi vyama vya siasa vifanye shughuli zao kwa amani na usawa kwa mujibu wa sheria, huku usalama wa raia na mali zao ukiwa katika uhakika wa kiwango cha juu zaidi.
Sote ni mashahidi,
huenda chadema ndio ilikua chanzo cha fujo, vurugu, uharibifu, dhuluma za uhai wa watu wasio na hatia na ghasia nyingine mballimbali za kisiasa kama vile watu kupotea n.k.
Hivyo naweza kusema without fear of contradictions kwamba, kusambaratika kwa chadema nchini kumeimatisha amani, utulivu wa kisiasa na kumechochea kwa kiasi kikubwa sana uhakika wa usalama wa watu na makazi yao, lakini pia kushamiri na kusitawi kwa demokrasia ya vyama vingi nchini Tanzania.🐒
Mungu Ibariki Tanzania