BA. in Economics and Sociology

BA. in Economics and Sociology

Joined
Sep 7, 2016
Posts
6
Reaction score
3
Habari zenu wadau,

Naomba kuuliza kwamba hii kozi ya Bachelor of Arts in Economics and Sociology ambayo inasemakana inatolewa chuo kikuu cha UDOM tu.

Je mtu akisoma kozi hii ndio anakuja kuwa nani akimaliza au atafanya kazi zipi za kuajiriwa???

Asante
 
Haina soko hata kidogo, Nenda Aman David wa marketing akakunyooshe.....ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Duhh mimi nasoma hii kozi kwahiyo kazi hakuna kabisa maana uchumi tunapiga kama kawaida na watu wa BA economics
POLE SANA NDO BONGO YETU HII UNAMALIZA DEGREE UNAKUA MLINZI UKIMALIZA KARIBU MTAANI KM HIYO KOZI HAUIELEWI BORA USOMEE UALIMU Hata ukimaliza unafungua centre yako mambo yanakwenda
 
La
POLE SANA NDO BONGO YETU HII UNAMALIZA DEGREE UNAKUA MLINZI UKIMALIZA KARIBU MTAANI KM HIYO KOZI HAUIELEWI BORA USOMEE UALIMU Hata ukimaliza unafungua centre yako mambo yanakwenda[/QUO

lakini tunasoma Econometrics na microeconomics na macroeconomics na bro wangu alisoma na anafanya kazi Exim bank now
 
Yaah ni kweli ajira zimekuwa shida kidogo ila nikupambana kupata GPA za maana G
SAWA ILA NSIMUKTATISHE TAMAA SASA HVI HALI JI TOFAUTI NA ZAMANI UPANDE WA AJIRA KM BRO WAKO ALIWIN NI BAHATI YAKE ILA KWA SASA HALI NGUMU AJIRA ZIMEKUA ZAKUBETI SANA
P
 
[QUOTE"ericly, post: 28927902, member: 451584"]Yaah ni kweli ajira zimekuwa shida kidogo ila nikupambana kupata GPA za maana G
P[/QUOTE]
MDOGO WANGU WHEN IT COMES TO THE MATTER OF AN EMPLOYMENT AISEE SAHAU KUHUSU G.P.A UNAWEZA UKAWA UNA GPA KALI MWAJIRI AKAOGOPA USIMUOTESHEE NYASI KIBARUA CHAKE KWENYE KAZI HIZ FITNA ACHA TU SOMA MDGO WANGU BAADAE UTAKUJA KUONA MWENYEWE SIKUKATISHI TAMAA LAKINI
 
[QUOTE"ericly, post: 28927902, member: 451584"]Yaah ni kweli ajira zimekuwa shida kidogo ila nikupambana kupata GPA za maana G
P
MDOGO WANGU WHEN IT COMES TO THE MATTER OF AN EMPLOYMENT AISEE SAHAU KUHUSU G.P.A UNAWEZA UKAWA UNA GPA KALI MWAJIRI AKAOGOPA USIMUOTESHEE NYASI KIBARUA CHAKE KWENYE KAZI HIZ FITNA ACHA TU SOMA MDGO WANGU BAADAE UTAKUJA KUONA MWENYEWE SIKUKATISHI TAMAA LAKINI[/QUOTE]
vile wale wa economics and statistics ??
 
Back
Top Bottom