what is sociology?!!! sometimes mnaposoma muwe mnasoma alama za nyakati. kama huna mtaji wa kujiajiri bora usome sayansi au masomo yanayokimbiwa na wengi ambayo ajira yake si ngumu kupata.....kukwepa hesabu+science subjects kutakugharimu.
Sasa wewe utingo ndo utajua what is sociology..?hakuna kazi rahisi kupata ukiondoa ualimu na udoctor zingine zote huslin ya kupata kazi ni kama kwaida..jombaa we husle tu sociology ipo na vitu kibao tu ww zama kwa NGOs tu ndo itakua fresh kutoka..!
Usipende kuingia kwenye system.Habari wadau wa mtandao huu, me ni kijana wa mika 23, nimehitimu degree ya kwanza ya sociology, natafuta kazi inayorelate na proffession yangu, natanguliza shukran za dhati.
what is sociology?!!! sometimes mnaposoma muwe mnasoma alama za nyakati. kama huna mtaji wa kujiajiri bora usome sayansi au masomo yanayokimbiwa na wengi ambayo ajira yake si ngumu kupata.....kukwepa hesabu+science subjects kutakugharimu.
Tatizo madogo wanapenda sana kuchagua kazi hawa!!Yani mtu akickia sociology wanasema ni masomo ya kike tena mepec soma wewe uone watu wengi wamesoma iyo wako safi bwana kumbuka fani yako unaingia kila sehemu ushauri wangu usichague kazi anza na yoyote ile mwanzo mgumu
Yani mtu akickia sociology wanasema ni masomo ya kike tena mepec soma wewe uone watu wengi wamesoma iyo wako safi bwana kumbuka fani yako unaingia kila sehemu ushauri wangu usichague kazi anza na yoyote ile mwanzo mgumu
hahahahahhaahhaha teh teh teh tehasante kwa skukrani zako kazi umepata tuwasiliane tu sisi ndio watu tulio kwenye system
Eti NGO...tanzania hii...endelea kujipa moyo hakuna fani iliyongumu kupata kazi km sociology. .mtu yoyote wa sayansi awe engineer. Doctor..nurse..pharmacist. .lab techonologist..hawakosi kazi tena wanapiga vijiwe viwili viwili..we umekremu ni ticha na doctor tu...endelea kuwadanganya wadogo zako wasome hkl., klf, hgl..na course zingine rahis rahis uone msoto wake..wanasheria kibao mtaani..la sivyo wasome kufuta ujinga ila wawe na mtaji wa ujasiriamaliSasa wewe utingo ndo utajua what is sociology..?hakuna kazi rahisi kupata ukiondoa ualimu na udoctor zingine zote huslin ya kupata kazi ni kama kwaida..jombaa we husle tu sociology ipo na vitu kibao tu ww zama kwa NGOs tu ndo itakua fresh kutoka..!
Pole yako siunaona jamaa anajutia we unaleta utetezi wakitoto kias hiki Eti anafiti kila sehemu
what is sociology?!!! sometimes mnaposoma muwe mnasoma alama za nyakati. kama huna mtaji wa kujiajiri bora usome sayansi au masomo yanayokimbiwa na wengi ambayo ajira yake si ngumu kupata.....kukwepa hesabu+science subjects kutakugharimu.