LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,119
- 27,123
Aziz Ki sio striker ni kiungo ana goli kumi na tatu hadi muda huu na ligi ndo kwanza bado ina mechi za kutosha. Kama ataendelea na consistency hii ( of which I blv he will) anaweza kumaliza na goli zaidi ya 20.
Mayele misimu yake yote miwili hakuwahi kufikisha goli 20 aliishia goli kumi na saba na alikuwa striker.
Mayele misimu yake yote miwili hakuwahi kufikisha goli 20 aliishia goli kumi na saba na alikuwa striker.