S Salary Slip JF-Expert Member Apr 3, 2012 47,028 144,382 Dec 7, 2013 #1 Bunge limeanza asubuhi kwa mwenyekiti wa kamati ya bunge ya mambo ya nje, mh.Lowassa kuwasilisha Azimio la bunge la kutambua mchango wa mzee Mandela. Mjadala unaendelea kwa wabunge kuelezea sifa mbalimbali za marehemu Mandela.
Bunge limeanza asubuhi kwa mwenyekiti wa kamati ya bunge ya mambo ya nje, mh.Lowassa kuwasilisha Azimio la bunge la kutambua mchango wa mzee Mandela. Mjadala unaendelea kwa wabunge kuelezea sifa mbalimbali za marehemu Mandela.