Azimio la.bunge juu ya maisha ya Mandela live ndani ya bunge

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,028
144,382
Bunge limeanza asubuhi kwa mwenyekiti wa kamati ya bunge ya mambo ya nje, mh.Lowassa kuwasilisha Azimio la bunge la kutambua mchango wa mzee Mandela.

Mjadala unaendelea kwa wabunge kuelezea sifa mbalimbali za marehemu Mandela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…