kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,000
- 17,909
AZERBAIJAN YAFYATA MKIA KWA IRAN.
Balozi wa Azerbaijan Mukhutar Muhammadov amekataa katakata kuhusiana na taarifa za nchi yake kuipa Israel ardhi yake kuishambulia Iran.
Balozi huyo aliyasema hayo wakati alipokuwa anafanya mahojiano na mwandishi wa habari wa The Jerusalem Post / JPost.com huku akisisitiza kwa kusema, kamwe Azerbaijan haiwezi ikaipa kambi Israel kuishambulia Iran wala kuruhusu ndege za kivita za Israel kujaza mafuta nchini Azerbaijan.
Balozi wa Azerbaijan Mukhutar Muhammadov amekataa katakata kuhusiana na taarifa za nchi yake kuipa Israel ardhi yake kuishambulia Iran.
Balozi huyo aliyasema hayo wakati alipokuwa anafanya mahojiano na mwandishi wa habari wa The Jerusalem Post / JPost.com huku akisisitiza kwa kusema, kamwe Azerbaijan haiwezi ikaipa kambi Israel kuishambulia Iran wala kuruhusu ndege za kivita za Israel kujaza mafuta nchini Azerbaijan.