Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 12,277
- 6,439
Chaneli 10 imejaa vipindi vya dini ila sio chaneli ya dini.Redio maria ni ya dini azam ni ya dini au azam sawa na tv imaan
Chaneli 10 imejaa vipindi vya dini ila sio chaneli ya dini.Redio maria ni ya dini azam ni ya dini au azam sawa na tv imaan
Kususia bidhaa za waislam kwasababu ya chuki za udini ni kutafuta kufa njaa hao mnaowachukia ndio wazalishaji wakubwa na wasamabazaji wa bidhaa.wakristo susieni bidhaa zake
Hiyo imejipambanua kabisa kuwa ni redio ya dini/dhehebu fulani, je Azam lini walitangaza kuwa ni Media ya dini fulani?Redio maria huwezi skia mambo ya ramadhani kila moja abebe msalaba wake
Wewe kweli mbumbumbu hujui unapoenda kuomba leseni ya redio au TV unaeleza kabisa kuwa unaendesha kwa dini au vinginevyoAzam sio ya kidini, lakini pia niyamtu binafsi humpangii aonyeshe nini, jambo lamsingi akionyesha usichopenda unasusia tu, mbona Clouds Radio na nduguye Wasafi wanapendelea CCM badala yakuonyesha usawa nakwavyama vingine?.
Kwani Azam anapewa Ruzuku naserikali?.
Achana na huyo Deo ambae pengine hajulikani na wengi japo yupo kwenye top positionNi kweli Azam Tv kuna udini flani hv.
lkn kwenye hili umeandika uongo.
Kuna Wakristo wengi tuu pale tena wana vyeo vikubwa, kwa kukutajia mmoja ni production manager wa Azam Tv ni Mkristo anaitwa Deo, unajua maana ya neno production manager tena kwenye kampuni kubwa kama Azam Tv.?
Wewe unadhani kuonyesha mpira ni bure? Azam anetoa billions mia nne na ushee ili kupata hiyo haki ya matangazoMm nadhani tv zote ziruhusiwe kuonyesha mpira wa ligi ya NBC sababu wengi wanatumia ving'amuzi vya azam sababu ya mpira tuone hicho kiburi chao kitaishia wapi
Tumuulize kuhusu ITV Kwa nn wakati WA Christmas kuna matangazo mengi ila wakati WA Ramadan Hakuna hayo matangazoSehemu pekee ambayo unatakiwa kudai usawa ni TBC na sio Azam.
Alafu huo udini huwa unaonekana kwenye mali za waislam tu.
Lakini kwenye mali za wagaratia wenzio huwa hamuoni udini bali ni uweledi.
Wewe ndio unapaswa kuwa huru kwenye kifungo Cha Dini!!Azam TV acheni udini katika vipindi vyenu kwenye channel zinazomilikiwa Azam kama vile Azam Two
Fanyeni biashara na wekeni udini pembeni. Matangazo ya Christmas mliyafinya mkayweka nyuma tukatazama tukanyamaza imefika Ramadhani kila tangazo ni ramadhani utadhani wote walionunua au kumiliki kin'gamuzi cha azam ni waislamu.
Kuna story niliwahi kuzisikia kwamba ni nadra sana kupata kazi katika makampuni ya Azamu kama sio muislam. ACHENI MARA MOJA UDINI, MMEKUWA WADINI MPAKA INAKERA.
Anzisha kampeni huko kwenye vigango vyenu, mbona rahisi tuDawa ni moja tu,kususia bidhaa zote za huyu kinara wa udini Tanganyika.
Burudani Kwa wachache 🤣🤣Fungua na wewe TV Yako iite Agape TV Burudani kwa wachache alafu weka matangazo ya kwaresma
Alafu usiajiri waislam
Azamu aliandika kibiashara na Kwa mwezi huu kaona maudhii ya dini yake ndio yanampa faida. Sasa wataka aonyeshe nini ?. Mwezi huu usilipie.Wewe kweli mbumbumbu hujui unapoenda kuomba leseni ya redio au TV unaeleza kabisa kuwa unaendesha kwa dini au vinginevyo
ile ni radio ya dini...Azam sio kituo cha kidini.Ingekuwa kituo cha kidini kama radio Iman,kheri nk usiongeona hiyo comment.Redio maria huwezi skia mambo ya ramadhani kila moja abebe msalaba wake
Ndio maana mimi natumia DStvNunua DSTV au anzisha ya kwako kwani umelazimishwa kutumia Azam kuna Zuku na nyingine nyingi tu.
ni ngumu tena ngumu sana.wakristo susieni bidhaa zake
hama Yanga, ina ulimbumeni sana ile timu🤤Azam na Yanga zimekuwa kama miskiti, waislamu ni malimbukeni sana.
Sijui unateseka ukiwa wapi acha dawa ikuingie vizuri, mijitu ilojaa udini kama wew ndio hamtakiwi hapa nchini katafuteni nchi yenu mana hiyo ni kansa ulokua nayo.Majibu ya kina Khadija Kopa haya! Na kama mtu hapendi wakristo ahamie Saudi Arabia au Afghanistan, hii ni nchi ya watu wa dini zote na wasio na dini. Azam iliomba kutoa huduma kwa watz wote lazma iache ubaguzi ndiyo sheria za nchi.