Sasa hapo udini upo wapi? Mi naona ni chuki tu za mleta mada dhidi ya waislamuNi kweli Azam Tv kuna udini flani hv.
lkn kwenye hili umeandika uongo.
Kuna Wakristo wengi tuu pale tena wana vyeo vikubwa, kwa kukutajia mmoja ni production manager wa Azam Tv ni Mkristo anaitwa Deo, unajua maana ya neno production manager tena kwenye kampuni kubwa kama Azam Tv.?