Azamtv

Awadh Mbwana

Member
Joined
Oct 24, 2014
Posts
52
Reaction score
40

Azamtv sasa inakuletea kifurushi cha wiki yaani siku 7 kwa Tsh 5,000 tu kwa chanel 50 ....
 
Jaman npen Faida na ubora wa king'amuz cha azam ukilinganisha na hasara za star times
AZAMTV,hd pia inaonyesha ligi za nyumban na vpind mbalimbali vya kuvutia jpo kuwa kuna baadh ya chanel znashabiana na zle za startimes,
STARTIMES,Bei yke nafuu kuanzia vifaa hdi vifurush vyke
 
AZAMTV,hd pia inaonyesha ligi za nyumban na vpind mbalimbali vya kuvutia jpo kuwa kuna baadh ya chanel znashabiana na zle za startimes,
STARTIMES,Bei yke nafuu kuanzia vifaa hdi vifurush vyke
Vipi kifurush kikiisha kuna channel znazobaki??? Hata chache??.maana startmes wanakata zote hata za nyumban hawaachi hata moja
 
Elfu tano wameuwa sana....anyway kwa sisi tusioangalia sana tv getto ambapo huwa hatulipii king'amuzi sababu hakuna anayeangalia itutafaa sana wakija wageni....siku akija mchuchu getto....hahahaha
 
Vipi kifurush kikiisha kuna channel znazobaki??? Hata chache??.maana startmes wanakata zote hata za nyumban hawaachi hata moja
kuna chanel mbili tv1 na tbc na zile chanel za ziada ambazo hta km ujalipia unazipata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…