Daniel Mbega
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 338
- 180
MABINGWA wa Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, leo wanajitupa uwanjani kumenyana na Esperance ya Tunisia katika mchezo wa kwanza wa raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho barani Afrika, ikiwa inabeba matumaini makubwa ya Watanzania.
Azam, ambayo ambayo imevuka raundi ya kwanza kwa kuifungashia virago Bidvest Wits University ya Afrika Kusini kwa kuichabanga jumla ya mabao 7-3, inashiriki kwa mara ya...
Kwa habari zaidi, soma hapa=> Azam yabeba matumaini ya Watanzania Afrika | Fikra Pevu