Licha ya kulipia package ya Tshs 23,000/= lakini tangu juzi nimekuwa sizipati baadhi ya channel kama:
1.AZAM SPORT TWO
2.AZAM HD
3.NICKOLODEAN
4.TBC ONE
Na nyingine nyingi tu hazipatikani, sasa sijajua shida iko wapi.Kifurushi changu bado ndio kwanza kina wiki moja tangu nikinunue.Msaada wenu tafadhali