Vip local channel zipo??Tulivumilia pale local chanel zilipoondolewa,tukailaumu serikali kwa kuwanyima kurusha chanel hizo za ndani,bado tuliridhika na baadhi ya chanel za nje kama Discovery science,Bet,Mbc1,2,3,4,Mbc action,power+nk, Watoto waliinjoy chanel zao kama Baby tv,Nickelodeon nk,lakini sasa hata hizo nazo hazipo tena!! Sijui tumlaumu nani,nimelipia bando la 28,000/lakini sioni cha kutazama! Naijutia hela yangu kwa kweli,hata ile ya music nayo wameondoa! Nimeikumbuka mchina yangu (startimes) mnatuangusha wateja wenu!
Dah [emoji3][emoji3][emoji114][emoji114][emoji114]Wamejaza mashekhe badala ya wataalam sijui walitaka kufungua madrasa
Tamthilia zote ni udini tupu .majuba na
Udini unaimaliza azam
Ukiangalia machanel yalivyojazwa, yote ya hovyotu. Mimi nalipia kuangalia mpira wa nyumbanitu na station za documentary. lakini kiukweli Dstv wako vizuri sana.
Humu jf ukiingia usipocheka basi una matatizo... Jamaa kanichekesha sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] imenibidi nicheke tuuu
Write your reply... Azam ni udini mtupu
Bora hata zuku wanajitahidi..Inauma sana walikuna vizuri ila ndio ndio vile sasa
Humu jf ukiingia usipocheka basi una matatizo... Jamaa kanichekesha sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787]
Waacheni wana wa mnyaazi munguTv ya maulamaa hio.
Waacheni wana wa mnyaazi mungu
Udini utawamaliza nasikia hadi ma messenger ni lazima uwe wa dini yao
Tv ya maulamaa hio.
Hahah mkuu mi naonaga hio Tv ni kwa ajili ya kusambaza tamaduni za wa-iran,waturuki inshort ni kwa ajili ya kutangaza tamaduni za waarabu/islam.Wanaboa sana
Hizo cineme zao sijui zetu ndio wameshindwa kutoa tuzo hata kwa wazawa
Tuzo wanawapa eti Wa Irani sijui wahindi na Wa turuki .
Hovyo sana
Naunga mkono uamuzi sahihi sana mkuu.Hawa wenzetu na udini huwezi kuwatenganisha. Hata hizi tamthilia zinalenga kueneza dini. Siku si nyingi ntafutilia mbali likingamuzi lao. Ngoja hii tamthilia ya suntan iishe maanA home hawatanielewa na baada ya hapo ntafanya maamuzi
DSTV bajeti ipokje ndgUkitaka burudani ya kweli nunua dstv..
Ila kama bajeti zinabana nenda tu kwa mchina (startimes)
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa king'amuzi gan ndio kizuri hapa Tz?