Ni mashindano ya kombe la mapinduz, mashindano yana shirikisha timu kumi na mbili ambazo zimepangwa katika makundi matatu kama ifuatavyo; KUNDI 'A' Taifa Jang'ombe, Yanga, Polisi zanzibar na Shaba- KUNDI 'B' KCCA, Azam fc, Mtende na Kmkm-KUNDI 'C' Simba, Mafunzo, Mtibwa na JKU.