Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,572
Nimejiuliza sana juu ya hili neno Takwimu na awamu hii ya tano!
-Ni majuzi tu umepitishwa muswada wa sheria ya Takwimu unaokandamiza haki ya wananchi kukosoa serikali,ilipelekea WB kusitisha kutoa fedha kwa serikali katika nyanja hiyo!
-Ni majuzi tu TWAWEZA walipata misukosuko kwa kutoa TAKWIMU ya matokeo ya utafiti,ilipelekea mkurugenzi wao kukutana na rungu la uhamiaji!
-Ni awamu hii mkurugenzi wa utafiti wa magonjwa ya binadamu alitumbuliwa na JPM,chanzo kikieleza ni kutoa matokeo ya utafiti wa homa ya zika!
-Na sasa naona serikali inaenda kukaza zaidi kwenye TAKWIMU ili iweze kuzikalia TAKWIMU zisizowapendeza kwa kisingizio cha ustawi wa taifa!!!!
Awamu hii ina kasumba gani na neno TAKWIMU?????(
-Ni majuzi tu umepitishwa muswada wa sheria ya Takwimu unaokandamiza haki ya wananchi kukosoa serikali,ilipelekea WB kusitisha kutoa fedha kwa serikali katika nyanja hiyo!
-Ni majuzi tu TWAWEZA walipata misukosuko kwa kutoa TAKWIMU ya matokeo ya utafiti,ilipelekea mkurugenzi wao kukutana na rungu la uhamiaji!
-Ni awamu hii mkurugenzi wa utafiti wa magonjwa ya binadamu alitumbuliwa na JPM,chanzo kikieleza ni kutoa matokeo ya utafiti wa homa ya zika!
-Na sasa naona serikali inaenda kukaza zaidi kwenye TAKWIMU ili iweze kuzikalia TAKWIMU zisizowapendeza kwa kisingizio cha ustawi wa taifa!!!!
Awamu hii ina kasumba gani na neno TAKWIMU?????(