Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,192
- 1,976
Awamu hii niliamini kuwa haina mambo ya "Michakato" kama Raia Na 1 alivyotuaminisha hasa wakati wa Kampeni ya kuingia Nyumba nyeupe! Alisikika akisema kuwa atakayeendekeza "michakato" "atatimuliwa kazi ili akafanyie michakato huko huko!"
Kumbe ahadi na uhalisia ni vitu tofauti!
1. Sasa hivi kupandishwa vyeo kumesimamishwa ili "mchakato" wa uhakiki wa watumishi hewa ukamilike!
2. Ajira mpya zimesimamishwa ili kupisha "mchakato" wa uhakiki wa watumishi hewa ukamilike!
3. Kupandishiwa mishahara kumesimamishwa ili kupisha "mchakato" wa uhakiki...ukamilike!
4. Sasa hivi watumishi wa Serikali wanasimamishwa kazi ili kupisha "uchunguzi" (mchakato)...
5.........
Hongereni wahusika kwa "michakato" murua ila 2020 msije kudai kuwa hakuna tena "michakato!"
Kumbe ahadi na uhalisia ni vitu tofauti!
1. Sasa hivi kupandishwa vyeo kumesimamishwa ili "mchakato" wa uhakiki wa watumishi hewa ukamilike!
2. Ajira mpya zimesimamishwa ili kupisha "mchakato" wa uhakiki wa watumishi hewa ukamilike!
3. Kupandishiwa mishahara kumesimamishwa ili kupisha "mchakato" wa uhakiki...ukamilike!
4. Sasa hivi watumishi wa Serikali wanasimamishwa kazi ili kupisha "uchunguzi" (mchakato)...
5.........
Hongereni wahusika kwa "michakato" murua ila 2020 msije kudai kuwa hakuna tena "michakato!"