Awa wanawake.

Awa wanawake.

By mapizi

Member
Joined
Mar 6, 2013
Posts
31
Reaction score
6
Mke kanitoroka sijui ata yupo wapi na cha ajabu kaniachia kichanga mwezi 1 na nusu,nimeisha mtafuta nimeenda kwao wamesema hajafika kule,vyombo vya habar nimeenda matangazo yamerushwa lakini hajapatikana,kisa na mkasa kilchofanya afanye hvyo aliniomba ruhusa aende kwenye shughuli ya rafiki yake,nimkataria nikamwambia kitoto bado kichanga co vizuri kukitembeza,dah ndo likawa koxa,siku ya nne leo tangu atoweke.nifanyejae wanajamii?.
 
Ili kumpata?
Ili asikutoroke? Au
Ili kumtunza mtoto?

Pole ila sema 'huyu mke wangu, sio wanawake'.
 
pole ndugu....ukiona hivyo ujue keshapata wa 'kumkuna'! wewe lea mtoto hata kwa maziwa ya kopo...angalia mbele maisha yaendelee. ipo siku atarudi na samahani kibao, hapo akili mukichwa!
 
Mapizi nimeanza kutokukuamini kwa threads zako zenye UTATA mtupu...
 
Mke kanitoroka sijui ata yupo wapi na cha ajabu kaniachia kichanga mwezi 1 na nusu,nimeisha mtafuta nimeenda kwao wamesema hajafika kule,vyombo vya habar nimeenda matangazo yamerushwa lakini hajapatikana,kisa na mkasa kilchofanya afanye hvyo aliniomba ruhusa aende kwenye shughuli ya rafiki yake,nimkataria nikamwambia kitoto bado kichanga co vizuri kukitembeza,dah ndo likawa koxa,siku ya nne leo tangu atoweke.nifanyejae wanajamii?.

kwa mwandiko huu.....sidhani kama wewe ni baba wa mtu......:nono:
 
mweh hii ni kweli au uongo uongo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mke kanitoroka sijui ata yupo wapi na cha ajabu kaniachia kichanga mwezi 1 na nusu,nimeisha mtafuta nimeenda kwao wamesema hajafika kule,vyombo vya habar nimeenda matangazo yamerushwa lakini hajapatikana,kisa na mkasa kilchofanya afanye hvyo aliniomba ruhusa aende kwenye shughuli ya rafiki yake,nimkataria nikamwambia kitoto bado kichanga co vizuri kukitembeza,dah ndo likawa koxa,siku ya nne leo tangu atoweke.nifanyejae wanajamii?.

Si ulijifanya mjanja??? Lea mtoto; makelele ya nini?
 
Mke kanitoroka sijui ata yupo wapi na cha ajabu kaniachia kichanga mwezi 1 na nusu,nimeisha mtafuta nimeenda kwao wamesema hajafika kule,vyombo vya habar nimeenda matangazo yamerushwa lakini hajapatikana,kisa na mkasa kilchofanya afanye hvyo aliniomba ruhusa aende kwenye shughuli ya rafiki yake,nimkataria nikamwambia kitoto bado kichanga co vizuri kukitembeza,dah ndo likawa koxa,siku ya nne leo tangu atoweke.nifanyejae wanajamii?.

Kuna mwanamke alikuwa anatangatanga jana usiku hana pakulala nikamhifadhi kwa usiku mmoja.
Ila leo asubuhi nimemuachia arudi zake kwake, kwahiyo ondoa shaka mkeo anakuja muda si mrefu.
 
Hii Chai !!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom