Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,621
- 27,567
Jana nilienda cinema kuangalia filamu ya Avengers. Jamani hata lile shetani lijambazi sugu halijakufa picha ikaisha. Halafu watu wengine wakaanza kuyeyuka; King of Wakanda akayeyuka kidogo nilie. Wengi waliyeyuka jamani!
Nauliza hivi watatoa part two kweli? Na hilo lishetani limefanikiwa kuchukua vile vidani vyote sita, waliungana wote kulipiga lakini liliwapiga. Pia sehemu niliyofurahia pale kwa Wakanda ule ukuta ni balaa na umoja wao.
Nimeifurahia maana wapo mastar kibao walioigiza Captain America, Thor, Spiderman na wengineo.
Jamani mi movie za kibongo sijui kiafrica zinisamehe kweli. Naomba watoe nyingine nimalizie mimi
Nauliza hivi watatoa part two kweli? Na hilo lishetani limefanikiwa kuchukua vile vidani vyote sita, waliungana wote kulipiga lakini liliwapiga. Pia sehemu niliyofurahia pale kwa Wakanda ule ukuta ni balaa na umoja wao.
Nimeifurahia maana wapo mastar kibao walioigiza Captain America, Thor, Spiderman na wengineo.
Jamani mi movie za kibongo sijui kiafrica zinisamehe kweli. Naomba watoe nyingine nimalizie mimi