mafinyofinyo
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 4,404
- 3,277
Mtu kaandika thread yake kiswahili, wewe unakuja na kiingereza mkuu, sasa unafikiri asipoelewa lugha ya malikia utakuwa umemsaidia nnMbali na miguu kuuma. I had these disness yani mwili unakifa ga zi kabisa. Unajaribu kuamka like hata dakika kumi ndo mwili unapata nguvu. Haya mambo yasikie kwa mtu tu. .
Kuna mda nakuwa na kizunguzungu yani naogopa sana kugive in hata kulala.unajua nikilala hapa siamki. I was depressed nimekosa hata kujiamini. People take so much for granted. .
Kuna mda natetemeka mwili and I am by myself. I was told kuwa sometimes the body release so much adrenaline that what is needed. I was also told it was something to do with the nervous system. .
What I do most Is try to avoid stress however, this is something which I don't know if I can put it behind me. I wrote my first WILL in 2016. Now I don't know which Will kill me the disease or my lovely wife, kids, brothers [emoji20]
Mtafute Prof Matuja family care dispensary Upanga. Nilimuoma huyu doctor 2012. Miaka imepita sasa sijui kama bado yupo pale. Huyu ni neurologist mzuri sana. .
Siku hizi kuna Google translate ndugu yangu. Ningeandika kiswahili asingeona ni jinsi gani naumwa na Mapito niliyopitia. Ugonjwa huu si wa kiswahili 😔Mtu kaandika thread yake kiswahili, wewe unakuja na kiingereza mkuu, sasa unafikiri asipoelewa lugha ya malikia utakuwa umemsaidia nn
Pole sana. Inatesa sana. Nimeona mtu mwenye pemphigus vulgaris, it is terrible.Habari za hapa. Mwaka jana nilipata tatizo la Autoimmune disease ambapo kinga za mwili zina over react na kushambulia mishipa midogo ya fahamu(nerves).
Kitaalam unaitwa Chronic inflammatory demyelinating polyneuropathy (CIDP).
Wakuu hii hali imenitesa sana almost mwaka mmoja sasa nashindwa kufanya shughuli za kawaida kwa sababu mikono na miguu haifanyi kazi vizuri kama hapo mwanzo.
Nilienda hospital kwa mtaalam wa magonjwa ya mishipa(neurology) akanianzishia dozi ya immunoglobulin mara moja kwa mwezi. Hii therapy imenisaida kidogo kunipa nafuu ila bado ile hali hali inanirudia sometimes.
Wakubwa naomba msaada wenu maana hali ni tete, huu ugonjwa umesababisha nipoteze kabisa furaha ya maisha.
Napata maumivu karibu kila siku.
Miguu inawaka moto, inakufa ganzi sometimes ngozi inawasha na kuchoma mwili mzima.
Naomba msaada wenu wakuu hali tete
Mbali na miguu kuuma. I had these disness yani mwili unakifa ga zi kabisa. Unajaribu kuamka like hata dakika kumi ndo mwili unapata nguvu. Haya mambo yasikie kwa mtu tu. .
Kuna mda nakuwa na kizunguzungu yani naogopa sana kugive in hata kulala.unajua nikilala hapa siamki. I was depressed nimekosa hata kujiamini. People take so much for granted. .
Kuna mda natetemeka mwili and I am by myself. I was told kuwa sometimes the body release so much adrenaline that what is needed. I was also told it was something to do with the nervous system. .
What I do most Is try to avoid stress however, this is something which I don't know if I can put it behind me. I wrote my first WILL in 2016. Now I don't know which Will kill me the disease or my lovely wife, kids, brothers 😞
Mtafute Prof Matuja family care dispensary Upanga. Nilimuoma huyu doctor 2012. Miaka imepita sasa sijui kama bado yupo pale. Huyu ni neurologist mzuri
Ahsante mkuu. Ntazingatia ushauri.Acha kula aina zote za wanga hasa ngano, nina hii hali ila mm inakuwa triggled na vyakula vyote vya ngano, but mimi huwa napata fatique nusu saa baada ya kutumia ngano so nliacha kuvila nipo sawa tu
Yes ni very expensive sana. Imagine kila baada ya mweziPole sana. Inatesa sana. Nimeona mtu mwenye pemphigus vulgaris, it is terrible.
Pole immunoglobulin zinasaidia sana ila ni very expensive...5 million per dose!
Pole
Kwa hali yako hiyo ishakomaa avoid wanga kadri inavyowezekana but ngano quit completely na bidhaa zake zote. Ukiendelea utaua ini ama figoAhsante mkuu. Ntazingatia ushauri.
Vipi kuhusu ngano wanga isiyokobolewa?!
Robert Heriel umeona jinsi mwili unavyoweza kujidhuru wenyeweMwaka jana nilipata tatizo la Autoimmune disease ambapo kinga za mwili zina over react na kushambulia mishipa midogo ya fahamu(nerves).
Kitaalam unaitwa Chronic inflammatory demyelinating polyneuropathy (CIDP).
Pole sana kwa hio umepona sasa?Ni ugonjwa mbaya sana sababu mwili unakosa nguvu, akili inachanganyikiwa, mwili wote unauma yaan mm huwa nalala tu. Nlienda masomoni india nikiwa sijui naumwa nn. Ilibidi nipelekwe apollo hosptal cha kushangaza naambiwa siumwi kitu