Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,331
- 33,147
Ona hapa aunt ezekiely anavyoonekana mrembo tofauti na ile picha ya harusi makeup kama pakashume. She is so beautiful and she has a healthy skin.
Kila la kheri mama, ushauri wa ndoa.kachukue kwa lady jaydee.
mbona sioni hizo picha zikifunguka kwangu??
mbona sioni hizo picha zikifunguka kwangu??
mbona simuoni Barubaru ina maana hawakumwalika! Au alikuwa Oman!?
Namashaka na Huyo bwana mdogo!
tunaohitaji kueleweshwa tupo wengi, huyo aliyekatanae keki ndio mumewe? (bwana harusi) mbona ni mtoto kuliko yeye alafu he is not happy