Aunty ezekiel, mumewe na wageni wao, waalikwa lunch nyumbani kwa bi salma mgido huko dubai

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,268
33,040
photo+2-2.JPG

Maharusi Mr & Mrs Sunday Demonte wakiwa katika pose nyumbani kwa Salma Mgido mapema leo kwaajili ya chakula cha mchana



photo+2.JPG

Kitu cha ndafu na madiko diko kibao
photo+2-5.JPG

Rahma Aunty Ezekiel na Mumewe Sunday wakikata ndafu huku waigizaji wenzake Aunty akiwemo, Ray, JB na Cloud walioenda harusini wakishuhudia tukio
photo+3-5.JPG

Ray akishuhudia kwa ukaribu tukio hilo
61645_10151317407610359_2016537279_n.jpg

Bi Salma Mgido (mwenye pink) akiweka mambo sawa
photo+2-1.JPG

Mr & Mrs Demonte wakipata msosi
photo+1-2.JPG

Wageni waalikwa akiwemo mwenyekiti wa Jumuyia ya watanzania Dubai (mwenye kanzu ya blue) katika shughuli hiyo
photo+1-1.JPG

Cloud katika picha ya pamoja na Janja



photo+3-2.JPG

Ray katika pose na shabiki wake
photo+4-1.JPG

Le Familia Mashallah
photo+4-2.JPG

JB katika pose
photo+2-4.JPG

Katija, mumewe aka muarabu na mkewe na Ray katika pose
photo+2-3.JPG



photo+3-3.JPG

Mumewe Katija, wanae na Sunita pia walikuwepo

Bi Salma mama wa shughuli......
 
Ona hapa aunt ezekiely anavyoonekana mrembo tofauti na ile picha ya harusi makeup kama pakashume. She is so beautiful and she has a healthy skin.

Kila la kheri mama, ushauri wa ndoa.kachukue kwa lady jaydee.
 
Ona hapa aunt ezekiely anavyoonekana mrembo tofauti na ile picha ya harusi makeup kama pakashume. She is so beautiful and she has a healthy skin.

Kila la kheri mama, ushauri wa ndoa.kachukue kwa lady jaydee.

Huyo Jaydee yake yenyewe inapumulia mashine ICU.
Heri aje kwangu tu Le Be.
 
mbona simuoni Barubaru ina maana hawakumwalika! Au alikuwa Oman!?

Nilisikia huyo bint ni bint wa mchazaji wa Zamani wa Simba sports Club Ezekiel Greyson maarufu kama Juju men.

Kumbuka huku mialiko ni kitu cha kawaida sana hususan panapotokea wageni kwani tunaamini kuwa HAKUNA HATA MTU ALIYEWAHI KUFILISIKA ETI KWA SABABU ALIKUWA ANAKULA AU KULISHA SANA MASIKINI AU KUKIRIMU WAGENI.

pOLE SANA

 
tunaohitaji kueleweshwa tupo wengi, huyo aliyekatanae keki ndio mumewe? (bwana harusi) mbona ni mtoto kuliko yeye alafu he is not happy
 
tunaohitaji kueleweshwa tupo wengi, huyo aliyekatanae keki ndio mumewe? (bwana harusi) mbona ni mtoto kuliko yeye alafu he is not happy

Jamani niwatoe wasiwasi tu.
Mdogo wake Demonte wa 3 amezaliwa mwaka 1979,anaishi pale Uganda Street,Masaki. Na yeye (Demonte) ni wa kwanza kuzaliwa.
Sasa chakachua ubongo yeye atakuwa amezaliwa mwaka gani?
Ni Uandunje tu.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom