Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,372
- 92,673
Mimi Labda aje Mkalimani wa picha, maana mpaka sasa hapo sijaelewa kitu kabisa. Naona ni Genge tu la wasanii wanakamilisha Sanaa yao. halafu usikute hiyo nyumba iko Sinza hapa tunaambiwa wako Dubai, bado najiuliza hawa kina Rey na JB nani kawagharamia ticket? kwanza huyo mtoto ni nini source of income yake?Unaweza ukakuta ni mke wa pili huyo, usicheze na wazee wa punje. Wanashangilia hapo kaoe halafu wao wa kwanza kumbanjulia mke