Uwezi kuwafananisha kwakua wanacheza nafasi tofauti, Ila Chama ilimchukua muda kufanikiwa pale Simba.
Aucho nimchezaji mzoefu na amecheza nchi nyingi na timu nyingi amesha cheza mbaka timu za ulaya. Uku Kwetu Tanzania ni Kama karudi kijijini, Chama kwenye uzoefu ana mengi ya kujifunza kwa Aucho.