Aliyekuwa Mgombea ujumbe CHADEMA baada yakutangaziwa kuwa ameshinda akawa anaelekea uani karibu na choo kulikuwa na shimo la choo ndipo alipodumbukia na mauti kumpata. Ndani ya shimo pia palikuwemo na maji. Tukio hili limetokea Katika Kituo cha Msalala Road,Geita. Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina la Bwana libarikiwe. Amen
Picha hii inaonyesha shimo alilotumbukia marehemu Bethar Nchimani Ngosha.
Bwana anahusikaje kwenye uzembe kama huu! Hivi eneo kama hilo litaachwaje wazi bila kufunikwa halafu yakitokea maafa tuseme Bwana ametwaaa! This is sickening!
Dah! Mbona haka kauchaguzi kameua wengi sana; kwa haraka haraka sio chini ya vifo 10. Sijui Oct. 2015 itakuwaje walahi na kiu ya mabadiliko iliyopo huku magamba waking'angana kutawala "milele". Sijui, nasema sijui.